reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,304
We ASA nuksi,jamani mi staki jamani vinatia stressASA best zangu wamenijaza kopa usijali maneno mengiii![]()
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
We ASA nuksi,jamani mi staki jamani vinatia stressASA best zangu wamenijaza kopa usijali maneno mengiii![]()
Mpendwa acha kabisa yaani ilifikia hadi nafunga biashara siku ya rejesho kuogopa watakuja kunijazia inzi![]()










Jamani kaaahhh!Yaani pesa zao kama Zina uchawi jamaniHapana nilikuwa na bishara nikakopa ili niongezee mzigo kweli niliongeza shida biashara ikawa ni ngumu yaani ile pesa iliniletea balaa![]()




,nawaogopa mnoooPotrait 🤠🤠Shot on Google Pixel. 🔥
HatutakiAsubuhi njema wadau
Sasa si anabaki kwenye hiyo 10 percent iliyobaki?Unaishije sasa mjini maana wadada karibia 90% wa mujini ni vikoba au ule unaitwa mchezo na Brak sijui black. Na mwingine naskia unaitwa nyonya damu 😂😂
Mkononi vinyweleo ndio hivo? Huko ndichi jeee 🙈🙈Habari za jioni wanaselfika wote!View attachment 2354823
Poleni jirani, kwanini hamtaki salam..Hatutaki
Tuna stressPoleni jirani, kwanini hamtaki salam..
Aiseee....Mungu aiondoe 🙏Tuna stress
Amin jiraniiAiseee....Mungu aiondoe 🙏
Siasa na usanii juuu!! Janja janja sana AnneSaint Anne naamini ni mwanasiasa
Unazingua kinomaaa!!Msubirie boss leidee..
Akitia tu mguu basi biashara imekwisha.
Hahahaaa....hebu toa loc mapemaaa, nianze kazi, udalali na ukuwadi ndo kazi yangu inaniweka town.
Fanya nisomeshee mchongoo huu fastaaaaaaa!!!
AntonniaUnazingua kinomaaa!!
Forever and always mkuu samaleko!✋Antonnia
Ona sasa mnavyopishana kujaSiasa na usanii juuu!! Janja janja sana Anne
Si unaona Pilot ametokomea tenaUnazingua kinomaaa!!
Umetuweza mbona!! 🙌🙌🙌🙌Ona sasa mnavyopishana kuja
Siyo mimiUmetuweza mbona!!![]()