Yaani mpendwa biashara ilikuwa iko vizuri tu wazimu gani ulinikuta nikakopa aisee nuski juu ya balaa😬😂😂😂😂😂🙌
Na wakija kudai hawana huruma.
Ile michezo kama Ina chuma ulete vile
Next time ukitaka kukopa niambie uje tununue karanga, iliki na pilipili manga huku vijijini!Wala sikuacha naendelea nayo ila hayo mamikopooo shindwaaa kwa jina la YESU
Hiyo kitu inalipa inaelekea wewe ni mtu wa pili unagusia hiyo biasharaNext time ukitaka kukopa niambie uje tununue karanga, iliki na pilipili manga huku vijijini!
Kweli umekoma! 😂Hiyo kitu inalipa inaelekea wewe ni mtu wa pili unagusia hiyo biashara
Sikopi tena baba junio alilipa lile deni na kanipa onyo hataki kusikia nakopa nikitaka pesa niseme.
Pesa ya Mhindi haina baraka kamwe😬Kweli umekoma! 😂
Halafu zile Hela kama zina mkosi hivi 😂Yaani mpendwa biashara ilikuwa iko vizuri tu wazimu gani ulinikuta nikakopa aisee nuski juu ya balaa😬
anza wewe BossAmkeni mselfike
👉👉👉👉Weweee!!! 😀 Acha mambo yako...Picha imewasubiri hadi imepauka na Kapteni ametokomea kusikojulikana .
Lizzy jikoni ni beast 🦁
Saint Anne naamini ni mwanasiasaAcha siasa Anne.. Saivi utasema nimsubirie captain Post M-alone 😌
Msubirie boss leidee..Saint Anne naamini ni mwanasiasa
Shot on Google Pixel. 🔥Acha bro. Huu mwezi sijui unaishaje nina buku tu.. ila kuna mchongo nasikilizia..
View attachment 2354436
Sina hela ya kulipa ndugu ndo maana!!vikoba uwe na pesa ya rejesho Kama Sina sasa!Unaishije sasa mjini maana wadada karibia 90% wa mujini ni vikoba au ule unaitwa mchezo na Brak sijui black. Na mwingine naskia unaitwa nyonya damu![]()