Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

..Histrionic personality disorder:
Ni ugonjwa wa akili ambao wengi wanao bila kujijua. Hivo umewahi kujiuliza huu ugonjwa ukoje na nini haswa na je unataka ufahamu kama unao au hauna? Basi fanya kuniqoute then nitag nikupe majibu ili ujue kama na wew ni mojawapo mwenye matatizo ya akili.
 
Siku hizi bahasha zinabebwa? Si mwendo wa mail tu…

2018 kuna ofisi nilijibiwa jibu ambalo sikurudiaga kubeba bahasha nikaenda ofisini kwa watu

Ofisini yenyewe hata jina nishaisahau, iko posta mojawapo ya yale majengo pacha.

Khaa yule dada


Wakati mwingine nilimiss tu kuwa interviewed, nikaandika email ofisi flani wako Masaki, hawa walikuwa wametoa tangazo.. sema kuna ka factor kalikuwa kamenipush, 2020 hiyoo nilikuwa natamani kuhamq Arusha

Niliandika barua hiyoo? Nilikopa kingereza mtaa wa 7 nikajimaliza balaaa…. Nikaitwa interview, hiyo siku kwanza nilikuta more than 4 missed calls na sms juu ‘sisi ni flani flani pls tutafute..

Basi chap nikawapigia, yule mama baada ya salamu akaanza kuniambia yan we jobless na hukai karibu na simu una raha gani? Nilihisi kuwa offended

Basi tukaongea nikamwambia siko Dar na itakuwa ngumu kufika.. basi akanipangia Zoom …. Kwa mara ya kwanza nakutana na panel ya watu wanne … niliogopaaa, ila nikakaza


Hapo najua niko mahali na siwezi kurupuka nikatokapo, basi kipengele cha mshahara tarajiwa nikataja figure ambayo najua walidhani kabisa hili toto halina shida na kazi
Nikawa nishawasahau.. hiyo siku nakuta email’ we regret to inform you that…..
ndo nimechekaaa
 
Kabisaaa shos dalali akee fanya kunitafutia mapemaaaa.. list ikitoka tu ni kuripot na kuanza kazi on spot hakuna kuomba omba ruhusa nijiandae Sijui!
Tafuta nyumba na bonge la bwanaaa najua huwezi niangushaaa
hebu toa loc mapemaaa, nianze kazi, udalali na ukuwadi ndo kazi yangu inaniweka town.

Fanya nisomeshee mchongoo huu fastaaaaaaa!!!
 
Hapa ndipo role ya mama inapokuja. Yani ukitaka kuzaa lazima ujikatae yani sura lazima ifomatiwe upyaa yani uvumilie vingi so na kina baba hapa ndipo muda wa kuwavumilia wake zenu sio ulimzoea pua mchongoko hapa lazima pua ijae kidogo kama andazi. Ila mwisho wa siku anakuletea Jembe au Mrembo kwa dunia. Hongera Jokate

View attachment 2354337
Jojo ktk role ya mzazi
 
INSECURITIES: HALI YA MTU KUTOJIAMINI NA KILA MUDA KUISHI KWA WASIWASI. Ni hali mbaya haswa huku mitandaoni utaishia kugombana na watu kila uchwao haswa ukizingatia kila mtu amekuja na tabia zake na huwezi zibadili ziendane na zako. Psychological facts.
Hakika
Kuna watu wagonjwa humu.. hawajiamini,,muda wote Wana wasiwasi na kujishtukia.
 
Alafu kuna mtu alinirushia pm hizo pic zako. Ulipendeza htari unataka ukalipie vikoba au unafanya preorder ya iphone 14.
Kaaahh...hakuna hyo kituu ya pm Wala P.o Box, kupendeza kwa sherehe sio mbaya Mara moja moja..
Sina kikoba ht kimoja halafu
I phone14 5.2m ndoja ntumie infinx yangu hii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
danga ,diwani,mtendaji au mwlkuu
Mi sijawahi fanya kazi bush ni mjini tu Dom,dar baasii Tena mjini
Vijijini wakae wenyewe,afanye ahame bwana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
nimechekaaaa sanaá. Nimekumbuka wakati wa ku apply chuo, nikawa nachagua Dar tyuuh, kuna mtu akanambia

"wee ukienda nje ya Dar utajuta kufahamu" na nkamuambia nkikosa Dar bas nasubir mwaka ujao, nashukuru awamu ya kwanza jina language likatoka fastaa nka confirm.

 
Back
Top Bottom