Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kaaahh...hakuna hyo kituu ya pm Wala P.o Box, kupendeza kwa sherehe sio mbaya Mara moja moja..
Sina kikoba ht kimoja halafu
I phone14 5.2m ndoja ntumie infinx yangu hii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaishije sasa mjini maana wadada karibia 90% wa mujini ni vikoba au ule unaitwa mchezo na Brak sijui black. Na mwingine naskia unaitwa nyonya damu 😂😂
 
Imagine mtu anadaiwa vikoba, mshahara haujatoka, anadaiwa kodi ya nyumba na nyumbani mzazi wake anaumwa! Alafu anakuja hapa mtandaoni akihisi labda atapata faraja kana kwamba wote tunafahamu changamoto anazopitia, then anakuta uhalisia wa mitandao hauko hivo. Kifuatacho ni frustrations na stress matokeo yake ataanza kumuona kila mtu kama ndio chanzo cha matatizo yake. Psychological facts.
Msumali wa nch 80 uwafikie walengwaaaaa.
 
INSECURITIES: HALI YA MTU KUTOJIAMINI NA KILA MUDA KUISHI KWA WASIWASI. Ni hali mbaya haswa huku mitandaoni utaishia kugombana na watu kila uchwao haswa ukizingatia kila mtu amekuja na tabia zake na huwezi zibadili ziendane na zako. Psychological facts.
Waelezeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!! Leo umekula nn mbna unatoa madesaaa ya kukonga nyoyo.
 
Unaishije sasa mjini maana wadada karibia 90% wa mujini ni vikoba au ule unaitwa mchezo na Brak sijui black. Na mwingine naskia unaitwa nyonya damu 😂😂
Mikopa sijui ina nuski gani mwaka jana nusu nichizike😁😁😁
Nilikuwa nampiga vibomu baba chanja mpaka akanistukia maana si kwa kasi ile sitakiii tena 😬😁😁😁
 
Back
Top Bottom