Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 18,988
Hatari sana mi nilipikaga za chumvi nikaunguza, nikajaribu za sukari watubwakanisusia tambi zangu. Umejitahidi National Anthem
Hatari sana mi nilipikaga za chumvi nikaunguza, nikajaribu za sukari watubwakanisusia tambi zangu. Umejitahidi National Anthem
🤠🤠🤠Bwana wee, nilikuwa na shangazi yako hapa.. Mie natoa wapi huko mkonoHatari sana mi nilipikaga za chumvi nikaunguza, nikajaribu za sukari watubwakanisusia tambi zangu. Umejitahidi National Anthem
HakikaKuna watu wanapitia shida na matatizo sana huko mitaani ila wanapokuja hapa mtandaoni huwezi jua kabisa kama wana misongo ya mawazo. Psychological facts.
KabisaImagine mtu anadaiwa vikoba, mshahara haujatoka, anadaiwa kodi ya nyumba na nyumbani mzazi wake anaumwa! Alafu anakuja hapa mtandaoni akihisi labda atapata faraja kana kwamba wote tunafahamu changamoto anazopitia, then anakuta uhalisia wa mitandao hauko hivo. Kifuatacho ni frustrations na stress matokeo yake ataanza kumuona kila mtu kama ndio chanzo cha matatizo yake. Psychological facts.


Huyo mwanamke uliye mpata mng'ang'anie haswaKuna watu wanapitia shida na matatizo sana huko mitaani ila wanapokuja hapa mtandaoni huwezi jua kabisa kama wana misongo ya mawazo. Psychological facts.



Imagine mtu anadaiwa vikoba, mshahara haujatoka, anadaiwa kodi ya nyumba na nyumbani mzazi wake anaumwa! Alafu anakuja hapa mtandaoni akihisi labda atapata faraja kana kwamba wote tunafahamu changamoto anazopitia, then anakuta uhalisia wa mitandao hauko hivo. Kifuatacho ni frustrations na stress matokeo yake ataanza kumuona kila mtu kama ndio chanzo cha matatizo yake. Psychological facts.




Nna shida na 2m hapa niazimeni baasImagine mtu anadaiwa vikoba, mshahara haujatoka, anadaiwa kodi ya nyumba na nyumbani mzazi wake anaumwa! Alafu anakuja hapa mtandaoni akihisi labda atapata faraja kana kwamba wote tunafahamu changamoto anazopitia, then anakuta uhalisia wa mitandao hauko hivo. Kifuatacho ni frustrations na stress matokeo yake ataanza kumuona kila mtu kama ndio chanzo cha matatizo yake. Psychological facts.



Namba unayo piga haipatikan
😂 Kila nikikumbuka ulivyokuwa kwenye ile harusi unamwaga minoti nafsi inakataa kataa.
Hali ya kutopenda mapenzi inaitwaje Mr physiologyINSECURITIES: HALI YA MTU KUTOJIAMINI NA KILA MUDA KUISHI KWA WASIWASI. Ni hali mbaya haswa huku mitandaoni utaishia kugombana na watu kila uchwao haswa ukizingatia kila mtu amekuja na tabia zake na huwezi zibadili ziendane na zako. Psychological facts.
Inaweza kuwa aromantic ila pia huenda una taste nyingine kama same sex attraction au animal attraction.Hali ya kutopenda mapenzi inaitwaje Mr physiology