Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kabisa!Mdogo wangu fanya chap
Baba mchungaji asichelewe mwambie wakati ni sasa
Watoto wasichelewe shule.
Kabisa!Mdogo wangu fanya chap
Baba mchungaji asichelewe mwambie wakati ni sasa




ahsante dear Niko ktk utafutaji mama angu! ahsanteee sanaNgoja tuanze zoezi la kumtafuta Junia.Sanaaaaa. Hebu Fanya uzae kwanza
Selfika na #tigo#ahsante dear Niko ktk utafutaji mama angu! ahsanteee sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Beba mimba kwanza ufumuke nikucheke hadi npasuke na tumbo lako Anne!!🤣🤣Mimi natamani ninoge kama Mpendwa 😍
Kuna rafiki yangu mmoja amenitumia picha jana alivyokuwa mjamzito,,Yaani alivimba uso kama fenesi.
Sasahivi amejirudi kama zamani.
All the bests mamaaa!! ✌️✌️Ngoja tuanze zoezi la kumtafuta Junia.
Nitaleta feedback
Naomba ile saa umeweka dp![]()
weee ile skupiiiMzuri kipenzi mwaka usiiche 😍😍Woii😍🔥🔥🔥🔥🔥
Mpendwa
Kumbe uzazi mzuri Jamani
Depal hunaga akili kidogoSiku hizi bahasha zinabebwa? Si mwendo wa mail tu…
2018 kuna ofisi nilijibiwa jibu ambalo sikurudiaga kubeba bahasha nikaenda ofisini kwa watu
Ofisini yenyewe hata jina nishaisahau, iko posta mojawapo ya yale majengo pacha.
Khaa yule dada
Wakati mwingine nilimiss tu kuwa interviewed, nikaandika email ofisi flani wako Masaki, hawa walikuwa wametoa tangazo.. sema kuna ka factor kalikuwa kamenipush, 2020 hiyoo nilikuwa natamani kuhamq Arusha
Niliandika barua hiyoo? Nilikopa kingereza mtaa wa 7 nikajimaliza balaaa…. Nikaitwa interview, hiyo siku kwanza nilikuta more than 4 missed calls na sms juu ‘sisi ni flani flani pls tutafute..
Basi chap nikawapigia, yule mama baada ya salamu akaanza kuniambia yan we jobless na hukai karibu na simu una raha gani? Nilihisi kuwa offended
Basi tukaongea nikamwambia siko Dar na itakuwa ngumu kufika.. basi akanipangia Zoom …. Kwa mara ya kwanza nakutana na panel ya watu wanne … niliogopaaa, ila nikakaza
Hapo najua niko mahali na siwezi kurupuka nikatokapo, basi kipengele cha mshahara tarajiwa nikataja figure ambayo najua walidhani kabisa hili toto halina shida na kazi
Nikawa nishawasahau.. hiyo siku nakuta email’ we regret to inform you that…..




hama kijijini naweee, sasa huko danga n Diwani au mtendaji wa kata, lol


danga ,diwani,mtendaji au mwlkuuMimi hapa nivozaaa nimeporomokaaa nimechakaa nimechujaaa balaaaa.. ubintini nilikua na huo mtrako Hakyanani trakoo kuleeee hipss sasa ndio usiseme.... nivobeba mimba tu mamaeee mzee ana nafuuuu nilikua kama kibibi cha miaka 102 uzazi 🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!Mimi natamani ninoge kama Mpendwa 😍
Kuna rafiki yangu mmoja amenitumia picha jana alivyokuwa mjamzito,,Yaani alivimba uso kama fenesi.
Sasahivi amejirudi kama zamani.
Acha kunijaza toka lini Mzigua akawa na mzigo kama mnyakyusa😁😁Mama Junia mwenyewe huyoo😍😍
Kweli mambo si haba huo mzigo ni hatari na nusu
Kisa nini? 😅 ni tamu hatariweee ile skupiii
Navimba huku mwenzenu😁😁😁😁Trakoo trakoooo👌👌👌👌 ndiooooo😘😘😘😘!!
Umenougaaa!!
Nakuona bishoo 🤠🤠🤠 picha za vyakula huku mfukoni tuna batiLunchtime. Tupieni picha za vyakula..
View attachment 2354424
Selfika na #tigo#
*104*430307945945330#




subhana llaaah! nimepata bwana ! ahsante brooo!!!sijui team mwewe walikua Wapi!