Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Siwezi kukukimbia, lakini sema ukweli coolness comes from within, Lizzy yupo very cool sijamuona kwenye conflicts and fights zozote humu...
Hata siku moja dada wa watu yeye na bata tu.

Wengine sisi mara kwenye siasa waniite mtoto wa Magu,
Sijakaa sawa huko MMU mtu ameniita Singo Maza....
Nakuja huku mara mtu amenitukana😂😂😂😂😂😂
Kichwa kikishapata moto hapo ndio basi tena.
 
Lizzy ameishi nje na amestaarabika maana siyo wote wamestaarabika..
Wengine bado tabia za bongo zimewaganda hata wafanyaje.

Watu wanachambana,,,Lizzy yeye anatupia msosi yupo zenji,,
Wakati wengine wapo hapa na huku Wana kuni pembeni,wanachochea tu moto🤣🤣🤣🤣
Ujue Saint Anne unazidi kunihamasisha niandike insha ya maneno yasiozidi 1000 kuhusu
 
Screenshot_20220907_224213.jpg
 
Back
Top Bottom