myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Asante jiraniTukule chipsi jirani
Asante jiraniTukule chipsi jirani
🤠🤠🤠 Naenda mlipia chap chap hapo... Kimwana mzuri kabichi bichi hatakiwi kupata taabuChukua chips hapo, hakikisha anakuwekea na mayonnaise, National Anthem anakuja kulipa
Mie mwenyewe nataka kujua sababu/motivation if there is one maana I'm one of those people who like to make sense of everything....even when there is none.😏Mapenzi yangu kwako si kwa sababu uni reward chochote yaani all those things that make loving more enjoyable si sababu ya mimi kukupenda, yaani i cant explain...
Ajabu sana??🙄🙄Aisee
Ngoja niwarahisishie,Mie mwenyewe nataka kujua sababu/motivation if there is one maana I'm one of those people who like to make sense of everything....even when there is none.😏
So....I'll be waiting 😉
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sema tu ukweli kuwa ni mzungu wa roho..
Itakuwa amewahi kuishi mamtoni huyu!
Sio wengine mara tuparangane na akina Coca🤣🤣🤣🤣
Mara wengine wanachambana hapa wakavu hata hawana mshipa wa aibu,Hadi mshindi hapatikani.
Nakupenda ❤️💕Ngoja niwarahisishie,
Anamaanisha kuwa wewe hauna uswahili swahili mwingi humu,,yaani habari za kutifuana na watu hujawahi kuwa nazo.
Wewe unajilia bata na vijana wako...picha kali,swaga za mamtoni tofauti na za wengine wengine yaani.
Hapo sitaki kuongea zaidi...
Marafiki si unaniachia??🙂Nipo njiani 😇😊😊😊
Nimewebea na vigauni vyao 😊😊😊🦜🦜🦜Marafiki si unaniachia??🙂
Ahsante sana mkuu🤠🤠🤠 Naenda mlipia chap chap hapo... Kimwana mzuri kabichi bichi hatakiwi kupata taabu
Kabla sijapiga manyanga Kwa Depal ushahamia Kwa saint ane aunt wee hufai hta kidogo🤣🤠🤠🤠 Naenda mlipia chap chap hapo... Kimwana mzuri kabichi bichi hatakiwi kupata taabu
🤗🤗🤗🤗🤗🤗Nimewebea na vigauni vyao 😊😊😊🦜🦜🦜
🤩Hapo sitaki kuongea zaidi...
Na Mimi nimekuwa mzungu.
Nikiongea sana muda si mrefu nitazua timbwili ,,nguvu za kupambana Sina.
Depal wangu hana shida.. Nyonga mkalia ini wangu 😊😊😊..Kabla sijapiga manyanga Kwa Depal ushahamia Kwa saint ane aunt wee hufai hta kidogo🤣
Lizzy ameishi nje na amestaarabika maana siyo wote wamestaarabika..
Hivi Lizzy unataka nilie hapa ama niende kule story of change nikaanzishe uzi, I love you unconditionally.Mie mwenyewe nataka kujua sababu/motivation if there is one maana I'm one of those people who like to make sense of everything....even when there is none.😏
So....I'll be waiting 😉
Halafu ujue unanikosha sana, yaani hapo unanimaliza..Ngoja niwarahisishie,
Anamaanisha kuwa wewe hauna uswahili swahili mwingi humu,,yaani habari za kutifuana na watu hujawahi kuwa nazo.
Wewe unajilia bata na vijana wako...picha kali,swaga za mamtoni tofauti na za wengine wengine yaani.
Hapana jirani sio ajabu...Ajabu sana??🙄🙄
Queen herselfLizzy ameishi nje na amestaarabika maana siyo wote wamestaarabika..
Wengine bado tabia za bongo zimewaganda hata wafanyaje.
Watu wanachambana,,,Lizzy yeye anatupia msosi yupo zenji,,
Wakati wengine wapo hapa na huku Wana kuni pembeni,wanachochea tu moto![]()