Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Siunaona sasa......😁😁😁Hakiyanani
Na ninavyopenda Kuview
Ukae hapo hapo ukisubiria hiyo siku. Kazi itakuwa ku-refresh pages tu 🤓
Siunaona sasa......😁😁😁Hakiyanani
Na ninavyopenda Kuview
Hapo ushindwe wewe tuNashukuru sana kwa kunrahisishia zoezi
Na siku hizi Coca hata hunaga muda nao yaani.
Nimeona wengine wamekumention kwenye uzi wa watu wanaowachukia
Nikacheka kuwa hawa jamani,mbona wanatafuta ugomvi Kwa nguvu na mtu asiyetaka ugomvi.






basis mie ndo roho kwatuuuuu, waendelee kunifuatilia zaidi, na nitawatesa sanaaaa. Sio shida zangu mieSjamuonaCuzooooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Coca umemuona Cuzo?
Muda si mrefu utaniona Zanzibar na malkia Lizzy hata kama ni kuchoma vitumbua nipate nauli ya kwenda aliko ni radhiHapo ushindwe wewe tu
Unilipe madeni yangu kijana.
Mambo CuzoSjamuona
Matani mengi siku hizi.
Kumenichangamsha kiasi chake..Sasa naweza kurudi mkoani.
Juzi niliona kigodoro Cha pili. Aisee zile ngoma zilivyokuwa zinapigwa nilitamani nijoin kukata mauno.








kigoma au kigodoro kinanogaa Temeke kuleee, aweeeeeh nshakumbuka buzaa kwa mama kibongeee. 


noumaaaaáhKama kawaida,ukaenda na kicheko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣basis mie ndo roho kwatuuuuu, waendelee kunifuatilia zaidi, na nitawatesa sanaaaa. Sio shida zangu mie
Zile ngoma zinapigwa vizuri aisee..kuna kavibe kanakujakigoma au kigodoro kinanogaa Temeke kuleee, aweeeeeh nshakumbuka buzaa kwa mama kibongeee.
noumaaaaáh
Sanaaaaah.Zile ngoma zinapigwa vizuri aisee..kuna kavibe kanakuja
Umemuona matola leo upara ulikuwa unatoa cheche pale uwanjan utasema radi ya kiangaznimemuonaaaa.
Ukiandika ntaelewa zaidi...na zaidi yapo ushindi wa 💷 utakufurahisha hata wewe kwahiyo mpango ubaki pale pale.😉Kama umenielewa siendi kuandika uzi, sasa suala la ndoto... ngoja nikuhadithie tu, niliota nimekuambia nakupenda halafu ukanitukana sanaaa!! kuna mtu nikamuomba ushauri akasema hio ni kinyume, basi nikavaa mabomu kama al-qaeda, nikaja kujilipua tu litakolokuwa na liwe...
Lizzy hebu acha kunifanyia hivyo, ujue nitaandika kweli?Ukiandika ntaelewa zaidi...na zaidi yapo ushindi wa 💷 utakufurahisha hata wewe kwahiyo mpango ubaki pale pale.😉
😆😆😆😆😆
Huyo mtabiri wa ndoto mwambie katisha sana kwa kuweza kukufanya uvae mabomu kwa matakwa yako mwenyewe 👊🏾👊🏾
Wenye marungu yalikuwa yalikuwa onMatani mengi siku hizi.
Kumenichangamsha kiasi chake..Sasa naweza kurudi mkoani.
Juzi niliona kigodoro Cha pili. Aisee zile ngoma zilivyokuwa zinapigwa nilitamani nijoin kukata mauno.
Mhuuu....ndo nnachotaka haswa!!! Nipo nasubiria hapa 🥱🥱
Ngoja niandae andiko, andiko linakuja, yaani we niahidi tu utapiga kampeni tushinde pesa...Mhuuu....ndo nnachotaka haswa!!! Nipo nasubiria hapa 🥱🥱
Ofcourse!! 🤓🤓Ngoja niandae andiko, andiko linakuja, yaani we niahidi tu utapiga kampeni tushinde pesa...