Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 6,515
- 18,998
😂 Niambie Post M-alone uko guwd?Poker mambo vp?
😂 Niambie Post M-alone uko guwd?Poker mambo vp?
Np mkuu, pisi gani selfika unailewa kuliko zote nikutongozee, nipo nakunywa vodka, confidence inasoma F...😂 Niambie Post M-alone uko guwd?
😂 Duh! Vp wewe kwani huzitaki pisi kali za humu?Np mkuu, pisi gani selfika unailewa kuliko zote nikutongozee, nipo nakunywa vodka, confidence inasoma F...
HaswaaaaaaahYeah unaenjoy life lako mwenyewe![]()
Bora hata Chuo nilikuwa sijisikii unyonge sana.
Ila Secondary aisee,, sikuwahi kupenda kwenda shule...na Nilikuwa najitahidi kuvuta siku mbili tatu lakini wapi!zinakimbia haraka kama Upepo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app






khaaah weeShule nlikua na mic mchux, yaan nlikua naona likizo iishe haraka.Lile boom kidogo lilikuwa linanipa nguvu.. Japo siku za mwanzo nilikuwa najihisi unyonge sana.
Na angalau akili inakuwa imekomaa kiasi.
Ila Sekondari Dah
Unawaacha wazazi unaingia mikononi mwa walimu wenye kila aina ya vitisho.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app






Wale wajinga waliona fimbo ni sifa Dah!
Bora hata Olevel..A level ilikuwa kupigana kizembe kama ng'ombe Dah!Kufundisha chenga.
Nilitokea kuichukia shule...Hadi sasa nawaza sijui hata nilivuka vipi ile level
Hapo bado hujapambana na purukushani za Chakula.
Kula Kwa Foleni.









Pamoja na mateso yote yaliyokuwepo Shuleni ila bado nilikuwa navuta.
Siku niliyoenda kwa wakati shule ni 1 tu!Wakati naanza form1,Baba alinipeleka.
Alipoanza kuondoka nilimlilia sana.
Nje na hapo sijawahi kuwahi Shule.





wee ulitisha mnoooShule hizi dah , sema ilinijenga visheria vyao ukikutwa umesimama na mwanaume iwe mita 2.
Ni Mungu tu aliutuvusha , Mimi nilikuwa na karoho kepesi nilikuwa nalia tu mie huku sina cha kufanya .





hiyo shule ni kisangaaa khaaaahHumu kuna pisi inanitoa sana udenda, nitajua nitamalizana nayo vipi...😂 Duh! Vp wewe kwani huzitaki pisi kali za humu?
Nimecheka mnooooo.Huku serikalini walitugeuza watoto wa watu ng'ombe.
Mimi Mungu anisaidie nisije kupeleka mtoto shule za kimasikini na zenye mateso.
Sema mimi angalau nilikuwa siteseki sana maana nilijiwahi mapema kuchukua kibali Cha ugonjwa..
Adhabu sifanyi na kazi nilikuwa sifanyi.
Siku moja nilienda Asubuhi ya siku shule masomo yanaanzaJ3.
Niliongozana na Shem wangu, Alikuwa Mwalimu pale..
Akawa ananiambia kuwa hawatawazingua kweli,nikasema sijui.
Zimepita siku2,mara Mkuu wa Shule amecharuka,anafukuza watu wakaite wazazi .Wale wote ambao hawakufika j2.
Fimbo zimepita,hapo mm nimechuchumaa pembeni,nashuhudia watu wanavyosulubiwa pale.
Na tunasubiri barua za kuondoka...
Alipofika shemejii akaja kunitoa,akasema huyu Mkuu aache upumbavu,nenda darasani.







KaCoca umekujawee ulitisha mnooo


Ipi iyo kwanza inakutoa udenda isije kuwa ni manzi angu maana nimewekeza sana huku selfika!Humu kuna pisi inanitoa sana udenda, nitajua nitamalizana nayo vipi...
Nambie chap pisi gani unaielewa...
Ugali kwa ndondo, afu ndondo enyewe lina top layer, bado hawajaweka mafuta ya taa kukata nyege.Ila alijua kuwatesa watoto wa watu.
Imagine mzazi anasafiri mkoa hadi mkoa Kwa kosa tu la mtoto kuchelewa siku moja!
Juzi kati hapo tuliskia ameshushwa cheo aisee...watu kama wachawi
Walishangilia balaa.
Wanasema kilichobaki hapa apate stress agongwe na gari afe
Kumbe hadi St nani Kuna mateso??
Ila Angalau wenzetu mtakuwa mlikuwa mnakula vizuri.
Sisi kuanzia kula ni mapambano kama uwanja wa vita.
Ukizembea hukuti chakula chako..Chakula Chenyewe sasa![]()









sijutiii kusoma Gvt, full vitukoz. Mtajee..Ipi iyo kwanza inakutoa udenda isije kuwa ni manzi angu maana nimewekeza sana huku selfika!