Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Kenge hasikii hadi damu zimemtoka.. Tena kama wewe. Nilikuwa naona mapovu yako kwenye jukwaa lenu lile. Inaonekana Klopp kakuvuruga sana
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kenge hasikii hadi damu zimemtoka.. Tena kama wewe. Nilikuwa naona mapovu yako kwenye jukwaa lenu lile. Inaonekana Klopp kakuvuruga sana
Nimegundua kumbe huna timu.Mashabiki wa Manchester United mpewe ulinzi na epl kombe mnabeba mapema tu sasa naomba muwashikishe adabu cheltako
Timu pekee ya kuifunga Manchester United ni mahakama tu
Hahahaaa!!BL
Una balaa wewe
Umeamkaje asubuhi hii
Enka imepona![]()
Ndio Ile shule ni private tena St.naniPrivate za manyanyaso tena?
Au seminari.
Nilikuwa na backup..Alikuwa ananiokoa sana.
Akasema mzazi wako nishafika nenda darasani.
Maana hata ningerudi nyumbani bado ningeenda hukohuko Kwa Dada.
Mwalimu aliyetufukuza ananikuta darasani anakasirika ila cha kufanya hana.
Ila alijua kuwatesa watoto wa watu.Ndio Ile shule ni private tena St.nani
Ningejua ningeenda zangu tu Kisutu tu mie .
Hahaha mlipatia huyo mwalimu
Umeona Euro inazidi kujichimbia chiniLabda unisomee na parrots wawe wanarudia rudia mie nisikilize tu 🙂
Alikuwa kazini hadi leo kumbe ?Ila alijua kuwatesa watoto wa watu.
Imagine mzazi anasafiri mkoa hadi mkoa Kwa kiss tu la mtoto kuchelewa siku moja!
Juzi kati hapo tuliskia ameshushwa cheo aisee...watu kama wachawi🤣
Walishangilia balaa.
Wanasema kilichobaki hapa apate stress agongwe na gari afe🤣🤣🤣🤣
Kumbe hadi St nani Kuna mateso??
Ila Angalau wenzetu mtakuwa mlikuwa mnakula vizuri.
Sisi kuanzia kula ni mapambano kama uwanja wa vita.
Ukizembea hukuti chakula chako..Chakula Chenyewe sasa🤣🤣🤣🤣
Unahitaji passport size au fuluu nikutumie mwenyewe tena ya leo leo
Loh 🥺🥺🥺🥺Umeona Euro inazidi kujichimbia chini
Kuna uwezekano ikaenda deep sana,Loh 🥺🥺🥺🥺
I wish ningebadilisha juzi 😔
Tununue Gold tuweke akiba yetu eeh ! Na Crude oil tusubiri vipande bei tuuzeLoh 🥺🥺🥺🥺
I wish ningebadilisha juzi 😔
It's awful 😰😰😰Kuna uwezekano ikaenda deep sana,
Watu wasio na uwezo bana hahahaAlikuwa kazini hadi leo kumbe ?
Huyo alijua kuwatesa watoto wa watu
Ile shule acha tu hata kula tulikuwa tunagombania na tunalipia hela . Chakula kibaya kweli .
Si private zote nzuri , mimi chakula kilinishinda nikalipiwa special diet hapo ndo wanafunzi wakaanza kunisema na kunichukia .
Nilikuwa spoiled Ile mbaya , naishi kama nipo nyumbani .
Inawezekana ingawa wanasema wataongeza intreset rake, ilhali hapo hapo mfumuko wa gharama upo juu, inakuwa kama kivuli tuIt's awful 😰😰😰
Fanya kuchombeza umpate mrembo huyohahahahahaha nayo nzuri