Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Lizzy anakula kipande kimoja View attachment 2345783
Mm hivi vyote lakn Bado najiuliza nitapata usingiz kweli na mlo huu😂😂😂
Hata kipande kimoja hamalizi hapo mara huyoo anakimbilia baharini kuogelea! 🖐🖐

Usingizi utapata sema labda shida ya kwenda kulimwaga kojo usiku maana tikiti na kojo ni chanda na pete! 😁😁
 
Moyo unanikosea, moyo unanikosea
Nakaa na wewe, natembea na wewe
Nalala na wewe, bado unanikosea
Zungumza nami mchana (La-la-la)
Zungumza nami usiku (La-la-la)
Kama haifai hata ndotoni tu
Usishindane na kichwa (Aah)
Tumalizane yakaisha (Aah)
Moyo nirudishie maisha (Aah)
Mtupu, mtupu nimekwisha
 
Moyo unanikosea, moyo unanikosea
Nakaa na wewe, natembea na wewe
Nalala na wewe, bado unanikosea
Zungumza nami mchana (La-la-la)
Zungumza nami usiku (La-la-la)
Kama haifai hata ndotoni tu
Usishindane na kichwa (Aah)
Tumalizane yakaisha (Aah)
Moyo nirudishie maisha (Aah)
Mtupu, mtupu nimekwisha
Kupatwa kwa T...
Mahaba niteketezeee🤸🤸🤸🤸!!
Enjoy to the fullest dear!!😘😘 Mapenzi matramuuu!!
 
Moyo unanikosea, moyo unanikosea
Nakaa na wewe, natembea na wewe
Nalala na wewe, bado unanikosea
Zungumza nami mchana (La-la-la)
Zungumza nami usiku (La-la-la)
Kama haifai hata ndotoni tu
Usishindane na kichwa (Aah)
Tumalizane yakaisha (Aah)
Moyo nirudishie maisha (Aah)
Mtupu, mtupu nimekwisha
Ahhh uko vizur njoo nikufundishe kupangilia sauti Ila tutarekodi usiku ndyo napenda
 
Back
Top Bottom