Selfika na JF: Snap it. Show it

Majuzi voda nimejiunga bando la wiki asubuhi kesho yake mchana naambiwa umefikia kikomo uwiiii!![emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeeh, mie za buku buku ndo zinazo ni boost, woiiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naomba niwe beki 3 wako. Huhuhuh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] malizia hii story, huu ubuyu mtamu nautaka full. Lazima huyo kijana ni boda boda tyuuh.

Chezea kupenda weyeeeeeeeee, usisikie mweeeeeeh.
 
Alishaondoka Hahaha! Mwamba mwenyewe alikua mume wa mtu huko katelekeza familia mke na watoto watatu! Siku nimerudi mkewe kaja kunilalamikia! Ukute nilikua nalisha nahio family yahuyo kwamba manina zake yule binti alijua kuninyoosha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dunia ina vituko woiiiiiih
 
KaCoca kamefika,hapo kataquote vilio vyetu vya vocha huko juu, comment moja baada ya nyingine.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizo sio shida zangu, kuhusu vocha mie nipo kimyaaaa, sina maneno.

Nawee unachezea fweza unalalama why???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…