Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna Uzi wa VPN naufwatilia Kwa karibu.
Hizi bando zitatupa magonjwa ya moyo😂😂😂😂😂😂.

Nikisema niunge la mwezi ndio kabisaa,linaisha ndani ya siku 4.

Wamenitumia tena msg🤣💔
Mpendwa Airtel hata ukiweka ya mwenzi hutoboi kuna siku nilipiga kelele peke yangu ndani yaani 10000 yangu inaniuma sana😬😬😁😁😁
 
Yaani elfu 20 niweke bando likae wiki??siwezi🤣🤣🤣🤣🤣🤣💔
Elfu 20 zinakaa 3weeks na kidogo

Mimi tar 1 nikiweka
Zinakaaa siku 23hivi, zikiwahi sana 19 kma laptop ilitumika sana kuji WiFi

Kama sikuji WiFi sana
Nafika hadi siku 24/25/26

Mimi hiyo naona Afadhali..
Mambo unaweka mb 450 kwa buku unawasha WiFi hujamaliza hata kuandika ka Email, msg ndugu mteja umetumia asilimia 75,, siyataki mambo hayo maana naona hiyo ndio inauma sana
 
Halafu Kuna Hawa wanaitwa Malaika wa Mungu wamesonga Lita tano ya sandrop na unga ndoo nzima hakiyanani💔😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Tena umenikumbusha Hebu niongee na walimu wanaorudi likizo wanipitie mafuta huko singida walau dumu 2!
Hapo bado dadaa wa Kazi hajamimina kama yanaokotwa tu jamani uwiiiii!!
 
Elfu 20 zinakaa 3weeks na kidogo

Mimi tar 1 nikiweka
Zinakaaa siku 23hivi, zikiwahi sana 19 kma laptop ilitumika sana kuji WiFi

Kama sikuji WiFi sana
Nafika hadi siku 24/25/26

Mimi hiyo naona Afadhali..
Mambo unaweka mb 450 kwa buku unawasha WiFi hujamaliza hata kuandika ka Email, msg ndugu mteja umetumia asilimia 75,, siyataki mambo hayo maana naona hiyo ndio inauma sana
Nisije pata magonjwa ya moyo na elfu ishirini yangu💔😂😂😂
 
Back
Top Bottom