Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣
Tena huko ndio kwenyewe upako nauskia live live
FA9887CE-BBB3-4CED-97CB-9F15749A12EA.png
 
Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
Tumia bundle za whatsapp pekee itasaidia pia mkuu
 
Insta jaman, ukiingia sekunde kidogo tu kisms kinapop up "umetumia 75% ya kifurushi chako😅
Instagram zile high quality reels, videos na picha, halafu ujue ile ni endless una scroll tu, pia huwa inatangulia kupakua picha kabla hujazifikia, huwa ina preloads videos na picha, lazima i consume excessive data sio jamiiforums ina pagenation
 
Instagram zile high quality reels, videos na picha, halafu ujue ile ni endless una scroll tu, pia huwa inatangulia kupakua picha kabla hujazifikia, huwa ina preloads videos na picha, lazima i consume excessive data sio jamiiforums ina pagenation
Me hua nafurahia net haisumbui kumbe ndio bando linaenda hvyo.
Na hzo reels saiv zimekua nyingiii, hata mtu hujamfollow unakuta wanakuletea kwa timeline yako
 
Back
Top Bottom