Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Ni ushunguuuuuNi maumivu😅
Ni ushunguuuuuNi maumivu😅
Bwana weee 1080 ina raha yake au 4k 😂😂😂😂 solution ni data limit tuSure, kupunguza video quality pia wakati wa streaming, updates ku set isitumie cellular data bali wi-fi n.k n.k
Unifinyangeeee
Kwa simu 4k nimatumizi mabaya ya madaraka, simu 720p pia sio mbaya kama ni cellular data, hata 360p unatazama vyema, kwa laptop 1080p inakaa vyema, kama ni unlimited wi-fi kama 8k ipo weka.....Bwana weee 1080 ina raha yake au 4k 😂😂😂😂 solution ni data limit tu
Ni bora zaidi kutumia unlimited, hata voda wana unlimited, 165,000, lakini kwa bundle za 1000 huna budi ku budgetKwa simu 4k nimatumizi mabaya ya madaraka, simu 720p pia sio mbaya kama ni cellular data, hata 360p unatazama vyema, kwa laptop 1080p inakaa vyema, kama ni unlimited wi-fi kama 8k ipo weka.....
Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tuKwa simu 4k nimatumizi mabaya ya madaraka, simu 720p pia sio mbaya kama ni cellular data, hata 360p unatazama vyema, kwa laptop 1080p inakaa vyema, kama ni unlimited wi-fi kama 8k ipo weka.....
Huyu anajuaga sana kuimba huyu dadaUnifinyangeeee
Wakinitazamaaa wakuone weweeee 😁😁View attachment 2340298
😊😊😊Huyu anajuaga sana kuimba huyu dada
Mwee mwee nimetoka kapaNdio mkuu, device's operating system ikigundua kuna high speed internet ndivyo ina send more data kwenye servers
Pia akina netflix, youtube automatically wakiona speed ipo juu automatically wanakupa higher display resolution, wengine wanakuwa hawajui...
Huenda kuanzia kesho nikarudi kwenye kitochi changu, sitaki noma na mtu mie 😀😀😀 nikiwa na smart bunle lazima liende maana kuna kipindi na connect na device zingine . Sasa nikikaa kwa kitochi vocha ya elfu 5 namaliza mweziNi ushunguuuuu
National Anthem mueleweshe aeleweMwee mwee nimetoka kapa
Wacha tu niamini wananiibia yaishe😅
Mie hii likizo si nilisafiri nikafifanya kuangalia King'amuzi online kupitia simu weeee Siku mbili bando la wiki kwishaaa!! Nikikaa vibaya hata siku moja bando la wiki kwisha! Bora kilivokata hii juzi kuweka hadi Jumapili!Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
Weee kitochi cha niniHuenda kuanzia kesho nikarudi kwenye kitochi changu, sitaki noma na mtu mie 😀😀😀 nikiwa na smart bunle lazima liende maana kuna kipindi na connect na device zingine . Sasa nikikaa kwa kitochi vocha ya elfu 5 namaliza mwezi
😀😀😀 Wanashinda instagram lazima waone wanapigwaa tu .. instagram inafukia data sio kutumiaNational Anthem mueleweshe aelewe
Eeh anipe somoNational Anthem mueleweshe aelewe
Unakuja gheto tunasikiliza wote 😀😀Weee kitochi cha nini
Utakua unatutumia vipi sasa hizo nyimbo za upako
Mie hii likizo si nilisafiri nikafifanya kuangalia King'amuzi DSTV online kupitia simu weeee Siku mbili bando la wiki kwishaaa!! Nikikaa vibaya hata siku moja bando la wiki kwisha! Bora kilivokata hii juzi kuweka hadi Jumapili!Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
Mie hii likizo si nilisafiri nikafifanya kuangalia King'amuzi DSTV online kupitia simu weeee Siku mbili bando la wiki kwishaaa!! Nikikaa vibaya hata siku moja bando la wiki kwisha! Bora kilivokata hii juzi kuweka hadi Jumapili!Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
🤣🤣🤣Unakuja gheto tunasikiliza wote 😀😀