Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Anhaa
Naujua

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Unifinyangeeee
Wakinitazamaaa wakuone weweeee 😁😁
15FACD30-9B9A-4F7B-BE04-CE5E02A44F15.png
 
Kwa simu 4k nimatumizi mabaya ya madaraka, simu 720p pia sio mbaya kama ni cellular data, hata 360p unatazama vyema, kwa laptop 1080p inakaa vyema, kama ni unlimited wi-fi kama 8k ipo weka.....
Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
 
Ndio mkuu, device's operating system ikigundua kuna high speed internet ndivyo ina send more data kwenye servers

Pia akina netflix, youtube automatically wakiona speed ipo juu automatically wanakupa higher display resolution, wengine wanakuwa hawajui...
Mwee mwee nimetoka kapa
Wacha tu niamini wananiibia yaishe😅
 
Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
Mie hii likizo si nilisafiri nikafifanya kuangalia King'amuzi online kupitia simu weeee Siku mbili bando la wiki kwishaaa!! Nikikaa vibaya hata siku moja bando la wiki kwisha! Bora kilivokata hii juzi kuweka hadi Jumapili!
 
Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
Mie hii likizo si nilisafiri nikafifanya kuangalia King'amuzi DSTV online kupitia simu weeee Siku mbili bando la wiki kwishaaa!! Nikikaa vibaya hata siku moja bando la wiki kwisha! Bora kilivokata hii juzi kuweka hadi Jumapili!
 
Kula mapindi kama Lynda.com 1080 au 8k ndio inapendeza sasa, kila detaisl unaona. Simu zinatuongiza gharama tu mwisho wa siku nilicho ona kwenye smart nataka Google drive, na telegram na whatsapp mengine hayaga kazi ndio maana kuna kipindi huwa napiga chini smartphone natumia kitochi tu
Mie hii likizo si nilisafiri nikafifanya kuangalia King'amuzi DSTV online kupitia simu weeee Siku mbili bando la wiki kwishaaa!! Nikikaa vibaya hata siku moja bando la wiki kwisha! Bora kilivokata hii juzi kuweka hadi Jumapili!
 
Back
Top Bottom