Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mie nilimuweka chinii nikamuelekezaa.. bwana dogo maisha yanaenda hivi na vileee.. uzuri huku tulipo vyakula vya asili kibaooo nawaambia tu mkichoka kubadili viazi mihogo magimbi kuna ngano pikeni maandazi chapati au chochote mnachotaka ngano ipo ndani mayai telee nyie tu mpike za kumimina au laa! Siku wali ukibaki usiku sauwaaa nyie asubuhi kuleni hadi msazee!!
Hivohivo akawa Usiku anapimaa mwingii nikamwambia wee usintanieeee!!
Nikawa nafungia mafuta nampimia namwambia hayo wiki mbili dogo!!

Binti mwingine nikamleta si akapata kakijana kasela ka kujipigia weeee alininyoosha! Mie nikiwa kazini Msela anakuja kuanzia asubuhi anaondoka muda naokaribia Kurudi kazini...
Tukifunga nilikua namuacha hata mwezi au wiki 2 hivi nzima kumbe Ndiokwanzaaaa mwamba alikua anahamia kabisa as if wameoana hapo kwangu wanakula wanalala wanajiachia vyakutosha! Siku waakiamua kupikia hapo wanapikaaa wanakulaaa... wakiamua kupikia kwa mwamba Binti achota tu mavitu wanaenda kupika hukoo!
Sasa nikawa nashangaa Mbona vitu vinaisha mapema na mtu yuko pekeake how which where???
Au kama tupo ila Mbona sikuhizi vinawahi kuisha??? Siku nilisahau kitu nikarudi ghafla nilichokikuta!!
Aisee pole sana huyo anaweza hata akakuletea mwizi ndani.
 
Mimi walinikata vocha yangu.
Nimeweka elfu 2 ili niunge bando,nadhangaa 300 haipo...
Nikawapigia hakuna sababu ya maana walionipa.
Nikaona Hawa hawanijui.
Nikakopa na Wala sina mpango wa kuwalipa.
Mie sijawahi kuwapigia ngoja niwapigie aisee... nikiona hivo huwa naandika tu ONDOA kwenye yale manamba yao wanaota tuma ma meseji yao sasa nashangaa nikituma ONDOA wanajibu sijajiunga na huduma yoyote sasa najiuliza 200 zangu kila leo zaenda wapi?? Ngoja namie niwapigie waniambie zinaishia IG Wakati hata situmii!!
 
Mie sijawahi kuwapigia ngoja niwapigie aisee... nikiona hivo huwa naandika tu ONDOA kwenye yale manamba yao wanaota tuma ma meseji yao sasa nashangaa nikituma ONDOA wanajibu sijajiunga na huduma yoyote sasa najiuliza 200 zangu kila leo zaenda wapi?? Ngoja namie niwapigie waniambie zinaishia IG Wakati hata situmii!!
Mimi nilijiondoa kwenye michezo yote na bado waliendelea kunikata
Hiyo siku nikapiga...Yule dada alijuta,,nilimbebesha lawama zote...halafu haniambii kwanini nimekatwa,anasema piga tena baada ya masaa mawili tuone kwanini wamekata.
 
Alishaondoka Hahaha! Mwamba mwenyewe alikua mume wa mtu huko katelekeza familia mke na watoto watatu! Siku nimerudi mkewe kaja kunilalamikia! Ukute nilikua nalisha nahio family yahuyo kwamba manina zake yule binti alijua kuninyoosha!
Na mshahara unamlipa.
De boss ledi unalisha familia ya nje😂💔
Mimi huwa nasema hakuna kazi nzuri kama uhiusegirl.

Kila kitu unapata Bure na mshahara wako haulipi Kodi.
 
Hatari mimi dada wa kazi nilishakataa kwanza ni mkali nahisi sitakaa nae hata week
Mimi mwenyewe huwa nasema nikiwa na kwangu sitaki housigeli..
Mimi pia ni mkali sana hasa pale mtu anapofanya tofauti na ninavyotaka.

Unakaa na mtu unakuta nyumba inakuwa chafu,anakuja kuongezea iwe chafu...aiseee mara mia nikomae na kazi zote mwenyewe kuliko mtu kuja kunifanyia hovyohovyo tu.
 
Back
Top Bottom