National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,199
Mtu akishaiva programming kwenye cyber inakuwa mtelemko sanaNdio Cyber alisoma kama ziada, ila yupo vizuri zaidi kwenye programming..
Mtu akishaiva programming kwenye cyber inakuwa mtelemko sanaNdio Cyber alisoma kama ziada, ila yupo vizuri zaidi kwenye programming..
Ok, ndio mkuu software engineer..Mtu akishaiva programming kwenye cyber inakuwa mtelemko sana
software Engi wachache wengi wanaishiaga kuwa ma programer au web devOk, ndio mkuu software engineer..
Kusoma inahitaji passion, lakini kuna fursa kubwa sana... na kazi hizi zenu inabidi kuji update kila siku, tech inakimbia kwa kasi, being a programmer usually means to become a life long learner you'll constantly be learning things, be prepared...software Engi wachache wengi wanaishiaga kuwa ma programer au web dev
Nipe huo mtama nikapikie uji..Ili niende jela?
Nilipita 823 KJ pale Msange😂Nipe huo mtama nikapikie uji..
Yaani bando la week unatumia kwa siku ni ajabu😬😬Airtel nafikilia kuhama mtandao wao ila ni wapi kwenye angalau🤷🏼♀️Nimeshatumia asilimia 75 uwii🥺
Airtel🚮
YaaniYaani bando la week unatumia kwa siku ni ajabu😬😬Airtel nafikilia kuhama mtandao wao ila ni wapi kwenye angalau🤷🏼♀️
Ndio dawa hyo😅
Ruka sarakasi kwanza kama mimi niamini 🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️Nilipita 823 KJ pale Msange😂
Sipo tayari kupata kesi za mauaji😂
Nimegundua pesa ninazotumia kuunga bando la mchongo kila siku kwa mwaka nina nyumba ya vyumba sita😬😬Yaani
Tunaunga bando la wiki kila siku😂😂😂😂🚮
Huko kwingine ndio Kuna upigaji zaidi🤣🤣🤣
😂😂😂😂💔🙌Nimegundua pesa ninazotumia kuunga bando la mchongo kila siku kwa mwaka nina nyumba ya vyumba sita😬😬
Yaani kuna vitu unawaza ukiacha tu unatoboa kimaisha hasa kirusi bando 😬😬😬😂😂😂😂💔🙌
Mimi mwenyewe nilifanya hii hesabu ya elfu2 Kwa siku...nikagundua nateketeza hela nyingi.
Sasahivi napambana nitafute VPN za bure...nasikia zipo ila zinakubali Kwa line ya Halotel.
Naenda kusajili🙌
Majuzi voda nimejiunga bando la wiki asubuhi kesho yake mchana naambiwa umefikia kikomo uwiiii!!🙌🙌🙌Yaani bando la week unatumia kwa siku ni ajabu😬😬Airtel nafikilia kuhama mtandao wao ila ni wapi kwenye angalau🤷🏼♀️
Ili nikupandishe presha uzimie kukwepa deni langu?Ruka sarakasi kwanza kama mimi niamini 🤸♂️🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Hakika!!!Yaani kuna vitu unawaza ukiacha tu unatoboa kimaisha hasa kirusi bando 😬😬😬
Yaani mzungu bora angetuachia Nokia tochi😬Majuzi voda nimejiunga bando la wiki asubuhi kesho yake mchana naambiwa umefikia kikomo uwiiii!!🙌🙌🙌
Kuna Uzi wa VPN naufwatilia Kwa karibu.Yaani kuna vitu unawaza ukiacha tu unatoboa kimaisha hasa kirusi bando 😬😬😬
Point ✌️✌️♥️Nimegundua pesa ninazotumia kuunga bando la mchongo kila siku kwa mwaka nina nyumba ya vyumba sita😬😬