Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Weeeh uyajenge na naniiiItabidi tuyajenge
Weeeh uyajenge na naniiiItabidi tuyajenge
Kulikoni?
Nidokeze pm hebuSiku nyingi
Hivi tumeshakuwa maexY
Kama leo nivyoikuta ya my ex mkwe!kama zali vile



Mimi mzee bwanaWe una uzee gani, acha kujizeesha



Hawachi uko na nini woiii mzuri niringe na hii sura ya baba angu umejua sana kunichekesha
Sema kweli mobutuHiyo ndo shape hua naipenda,
Sio misambwanda![]()
Jamani ameweka saa ngapi mbona napitwa mimi wewe Lucas Mobutu ebu ukuje uweke tenaUliweka picha ya wifi yetu ukiwa nae dakika ziro ukafuta nilimfananisha na Shunie.
Kuna mababa mahandsome ujue..Haachi uko na nini woiii mzuri niringe na hii sura ya baba angu umejua sana kunichekesha
Ebu niambie nilipozitoa mwenyewe nutakuwa sijui hata nilipozitoaNajua ulipo zitoa hizo nywele maza wangu anazo ajabu kmnyima mjukuu wake nimechukia
Weeeh ebu rudisha hiyo picha bwanamkuu,yule ni shunie
Niyeye pekee ndio huwa nipo proud hata kupiga nae picha
Anatumia ipi tena@Kapeace
Kachange ID![]()
Ni mdogo huyo
Anaonekana hajafikisha miaka 30
Ila anapenda uzee




Eti mdogo sijafikisha 30 nipo pembeni nasema hiiiiiiiHata sijuiAnatumia ipi tena
Ukimuita mrembo atakuja akwambie anafanana na baba ake
In short hajikubali






Jamani jamani sio kwa baba anguKuna mababa mahandsome ujue..