Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,478
- 203,123
😂😂😂 Mods sio watu wazurikwenye kale kaugomvi nilikuwepo ila sikujua kama kuna mtu alilazwa mbele
😂😂😂 Mods sio watu wazurikwenye kale kaugomvi nilikuwepo ila sikujua kama kuna mtu alilazwa mbele



umeona eenh ila yupo kimya sana aise
Kuna wengne hapa unabadilisha asubuhi jioni ushajulikana
Sasa yeye ni mwezi kabisa ushapita
Huu uzi ni wa selfii ya matukio ya kila siku kama utapendaHahahaha
Kaka ake mbona Sina kapicha ka kutupia wajameni...
Fanya kama unanisaidia tu dadake
Kaka ake nimeiweka na nimeshaifuta eti...



Hahhhah,umeona eh Shunie pitia hapa useme chochoteNilijua tu ukafuta haraka mmependezana kwa kweli.
Aliharibu nini?Siku nyingi
Ukimuita mrembo atakuja akwambie anafanana na baba akeNamshangaa sana huyu mrembo
Hapana nataka mwili ulale chini miguu iwe juu mana sio kwa mizurulo hii hata hivyo ishapoa tayali nakula nilale kiduchuKaa juu ya kabati uinin'ginize chini...
NajuaHuu uzi ni wa selfii ya matukio ya kila siku kama utapenda
Ewaaa, na siku yangu itaisha vizuri.

Dah, Mungu fundi jamaniHiyo hapo ya mwisho kaka akeeView attachment 1256483




nafsi yangu imefurahi dadake, asante!Naifuta Sasa kaka ake.Dah, Mungu fundi jamaninafsi yangu imefurahi dadake, asante!
Unaweza kufuta tu dadake!!Naifuta Sasa kaka ake.