Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Ni mdogo huyo
Anaonekana hajafikisha miaka 30
Ila anapenda uzee
Hahahaha
Kaka ake mbona Sina kapicha ka kutupia wajameni...


vitu ulivyojaaliwa ni adim sana, tupe furaha ya macho tu dadake!!Siku nyingi
Nasikia mijisifa tu ulivotokelezea leo sina bahati mimi sijakuona
vitu ulivyojaaliwa ni adim sana, tupe furaha ya macho tu dadake!!



Cardiovascular hujamaliza ban tu
Chombo ya MgangaChombo inashiba kwanza View attachment 1256449
Embu toa miguu kwenye kiti bwana..
Unauliza kama hukuwepo vile 😂😂😂Hivi kumbe alipigwa ban??
Kaa juu ya kabati uinin'ginize chini...Niweke wapi na natamani kuining'iniza?



kwenye kale kaugomvi nilikuwepo ila sikujua kama kuna mtu alilazwa mbele
Unauliza kama hukuwepo vile![]()