FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,553
You did it right mkuu was just provoking youUwongo mpendwa
You did it right mkuu was just provoking youUwongo mpendwa
Ngoja niuze shamba langu niwekeze hapo kwakoYalaaaah
Uliweka picha ya wifi yetu ukiwa nae dakika ziro ukafuta nilimfananisha na Shunie.
mkuu,yule ni shunieAah kule 😂haupajui pa kunong'onezana eti??
Hahaa na mimi unanisikitisha kweli ujue; post hata ndevu basiNasikitika sana sis darling, nasikitika sijakuona hata unyayo![]()
We mwenyewe ni kisu balaaTukomeshe Mpendwa sijui nikanunue dawa angalau yajae na mimi![]()
Mvi ndio tatizo sis, mvi tu baas!Hahaa na mimi unanisikitisha kweli ujue; post hata ndevu basi


Nilijua tu ukafuta haraka mmependezana kwa kweli.mkuu,yule ni shunie
Niyeye pekee ndio huwa nipo proud hata kupiga nae picha
@Kapeace
Kachange ID![]()
Ni mdogo huyoWe una uzee gani, acha kujizeesha
Bora umwambieWe mwenyewe ni kisu balaa
Mkuzi waterfall LushotoView attachment 1256447


ni katika harakati tu za kutafuta pozi la picha
Mkuu mbona kama unaelekea kudumbukia??
Chombo inashiba kwanza View attachment 1256449