Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,970
- 177,190
Namie nakujaa usintanieeee mjomba! Mie nataka Mihogo tu hapo;😋
Namie nakujaa usintanieeee mjomba! Mie nataka Mihogo tu hapo;😋
Na ka samaki wananitolea jikoni 😋😋😋Namie nakujaa usintanieeee mjomba! Mie nataka Mihogo tu hapo;😋
Ewaaaaa kwa samaki hapo😋😋😋😋;Na ka samaki wananitolea jikoni 😋😋😋
Ukuje chap chap usichelewe sasa 😋😋Ewaaaaa kwa samaki hapo😋😋😋😋;
Santo sana mjomba nakuja fastaaa hapo 🚶🏼♀️!!Ukuje chap chap usichelewe sasa 😋😋
Huhuhuhuhuh, usijariiiiiiii shouzzzzzz akeeee,Nami namsalimia sanaa !! Bado yanki kama wewe shoss angu!!![]()





Nzuri Chakorii ebu sema neno kidogoNi kikohozi kilinibana ndugu yangu.
Habari yako braza
Nini maana ya sensasasa wee kuna rungu paleee?? Au macho yako yapo holidei ya Sensa????
Cheka ufee🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka sanaa, ni wee umeandika au?? Mbna mie nimepoaaa sanaaa, afu hadi watu wanasifia now nimekua nimeacha utoto. Uwiiiih
kenua mpaka jino la mwisho libanjukenimecheka mnoooo.
Nkipata mke kama wewe anapenda kucheka cheka ndani nakaa na gunia la fimbo
Ukikutana na karani mimi tunafotoana😁Nimeambiwa home nilishahesabiwa,
Sijawahi bahatika kukutana na karani wallah,nikikutana na karani lazima nimfotoe,
NA MKOME KWEL KWELMdomo koma![]()
Kwenda huko tupia yakwako
Eti eeeee
Cheka ufee
Aliyekwambia unichachue ni nani??
Tena nitakufungulia kesi kabisa wacha nimalizane na mwanasheria wangu kwanza







sasa nitumie vocha nikuchachue tena zaidi. UwiiiiihApate mara ngapi na ni mkeo ! Mnaenda California lini cuzoo akee??Nkipata mke kama wewe anapenda kucheka cheka ndani nakaa na gunia la fimbo
Nkipata mke kama wewe anapenda kucheka cheka ndani nakaa na gunia la fimbo






cuzooooo una shida wee, khaaaaahApate mara ngapi na ni mkeo ! Mnaenda California lini cuzoo akee??






shouzzzzzz nimecheka mnooooo. Khaaaaah.