Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,209
- 183,056
Namie nakujaa usintanieeee mjomba! Mie nataka Mihogo tu hapo;😋
Namie nakujaa usintanieeee mjomba! Mie nataka Mihogo tu hapo;😋
Na ka samaki wananitolea jikoni 😋😋😋Namie nakujaa usintanieeee mjomba! Mie nataka Mihogo tu hapo;😋
Ewaaaaa kwa samaki hapo😋😋😋😋;Na ka samaki wananitolea jikoni 😋😋😋
Ukuje chap chap usichelewe sasa 😋😋Ewaaaaa kwa samaki hapo😋😋😋😋;
Santo sana mjomba nakuja fastaaa hapo 🚶🏼♀️!!Ukuje chap chap usichelewe sasa 😋😋
Huhuhuhuhuh, usijariiiiiiii shouzzzzzz akeeee, [emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]Nami namsalimia sanaa !! Bado yanki kama wewe shoss angu!![emoji3577][emoji3577][emoji8][emoji8]
Nzuri Chakorii ebu sema neno kidogoNi kikohozi kilinibana ndugu yangu.
Habari yako braza
Nini maana ya sensa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee kuna rungu paleee?? Au macho yako yapo holidei ya Sensa????
Cheka ufee🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaa, ni wee umeandika au?? Mbna mie nimepoaaa sanaaa, afu hadi watu wanasifia now nimekua nimeacha utoto. Uwiiiih
kenua mpaka jino la mwisho libanjuke[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoooo.
Nkipata mke kama wewe anapenda kucheka cheka ndani nakaa na gunia la fimbo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukikutana na karani mimi tunafotoana😁Nimeambiwa home nilishahesabiwa,
Sijawahi bahatika kukutana na karani wallah,nikikutana na karani lazima nimfotoe,
NA MKOME KWEL KWELMdomo koma [emoji40]
Kwenda huko tupia yakwako
Eti eeeee
Hata sijui mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nini maana ya sensa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa nitumie vocha nikuchachue tena zaidi. UwiiiiihCheka ufee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aliyekwambia unichachue ni nani??
Tena nitakufungulia kesi kabisa wacha nimalizane na mwanasheria wangu kwanza
Apate mara ngapi na ni mkeo ! Mnaenda California lini cuzoo akee??Nkipata mke kama wewe anapenda kucheka cheka ndani nakaa na gunia la fimbo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] cuzooooo una shida wee, khaaaaahNkipata mke kama wewe anapenda kucheka cheka ndani nakaa na gunia la fimbo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shouzzzzzz nimecheka mnooooo. Khaaaaah.Apate mara ngapi na ni mkeo ! Mnaenda California lini cuzoo akee??