Tulia kwanza tugombanie vocha wee ngosha!Ebu
Jongea hapa tule Kimotco
Tulia kwanza tugombanie vocha wee ngosha!Ebu
Jongea hapa tule Kimotco
Hii level sijaifikiaThe size of your problem is nothing,
Compared with your ability to solve them,
Don't underestimate yourself.

Mie mtandao wenye kasii kakaa kitu vodaaa!
Hahaa tulia hapo hapo kikeni
Mimi ED wetu sina kumbukumbu kama ashawahi niona nacheka 😂Yaaani nilikuwa muanzisha vicheko..watu wanacheka Kwa namna ninavyocheka
Akiyanani katika kitu siwezi kujizuia basi ni kicheko na kilio.
Kicheko Cha matajiri na wenye kazi sijui nitacheka mbele ya Safari huko.
Siku moja boss alipokea simu,,yale maongezi yalikuwa yanachekesha japo ya vitu serious...Mimi kama kawaida mtoto wa watu nikajiachamia🤣🤣🤣🤣
Ahsante sana mama kajachoo
BabuuuuView attachment 2330358
Uzee huu, Ngoja tuendelee kuota Jua kabla Wajukuu hawajatuingiza ndani 🤪🤪
Good Evening 🌆
Baada ya miaka mingi hatimaye nimekutana na Mjukuu 🤪🏃🏃
Wanaangalia from anaza engoWatu kimyaaa
Abeeee umeniita?😂😂Ahsante sana mama kajachoo
Kwenu studiooo😍😍
Hili tatizoAnd then one day, I'll cross the river,
I'll fight life's final war with pain;
And then, as death gives way to victory,
I'll see the lights of glory and I'll know He lives!
Watu wana refresh tuWatu kimyaaa
🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃😁😁Abeeee umeniita?😂😂
Acha mambo yakooo wewe wa selfikaaa weka vitu weka vituuuWatu wana refresh tu
Wameshikilia kitufe😂😂😂😂😂
Ngoja niame uzi nitafute uzi mwingine nikatupie huko
Niende kwa rikiboy nn??😂😂
Bagamoyo? Au bado hamjaokota hela 😂😂😂