Ni ku copy na ku paste tuMwenye 14 nakusalimiaa Shikamoo!!! Unaupiga mwingi sio kitoto ๐
Watu wana speed ya hajabu๐๐๐๐๐ tatizo wewe una type hapa wenzio wako kimya ukitype kujibu ndo muda wanacopy unapishana nazo
Ni ku copy na ku paste tuMwenye 14 nakusalimiaa Shikamoo!!! Unaupiga mwingi sio kitoto ๐
Speed kakaa speed..kuna pipo zina mbio ni nuksiii.. voda zote mbili wa14 kapitanazo dadeqNi ku copy na ku paste tu
Watu wana speed ya hajabu๐๐๐๐๐
๐ท๐ทMimi ni nani usinipige ๐๐ ?
Nikimweleza Bibi yako hizi habari lazima atafurahi sana, jiandae uje tuhesabiwe wote Mjukuu ๐Babu nakumiss sana jaman
Nitakuja huko week ijayo, nimemiss vyakula vya kiasili
Nitakubutua ๐๐ท๐ท
Nakuja babu, niwaletee nini na bibiNikimweleza Bibi yako hizi habari lazima atafurahi sana, jiandae uje tuhesabiwe wote Mjukuu ๐
Hongereni sana ๐Si kuanzia leo๐
Sentensi ya mwishoMimi nikikumbuka vicheko vyangu Kwenye vunues zenye maelfu ya watu pale Udom akiyanani nacheka Tena
Kuna dada nilikuwa nakaa naye ibadani,yaani akicheka na mimi nacheka Kwa sababu ya kicheko chake.
Nikicheka namchekesha Tena,akicheka watu wote wanaanza kucheka kwa vicheko vyetu
Sisi tunasinga mbele na vicheko kama injili.
Yaani huko Whatsapp nikikutana naye nivicheko Kwa kwenda mbele kama mambumbumbu hivi .
Na vile kujibana siwezi yaani unakuta nimeachama hadi mwisho![]()
Irudiwe mkuu ๐๐๐
ingekuwa voda ningebeba kombe
Babu la mchongoUkianza kuelezea Vita vya Maji Maji utasema 1905-1907 ulikuwepo![]()
Chief wewe kula samaki tu leo hizi ni za Surbi atakuloga๐๐๐Irudiwe mkuu ๐๐๐
Voda kakaaa zangu wapi wenye nazo ndio wanaweka mkuu Sijaambulia kitu๐๐๐
๐ตโ๐ซ๐ตโ๐ซ๐ตโ๐ซ๐ตโ๐ซ wanataka haki sawaChief wewe kula samaki tu leo hizi ni za Surbi atakuloga๐๐๐
na hii ningepitia nayoSelfika na #tigo#
*104*425227332995703#
Nipo vyema Mkuu, habari za siku nyingi?Babu la mchongo
Habari mkuu
Haki sawa wapiii mkuu !๐ตโ๐ซ๐ตโ๐ซ๐ตโ๐ซ๐ตโ๐ซ wanataka haki sawa