Ni ku copy na ku paste tuMwenye 14 nakusalimiaa Shikamoo!!! Unaupiga mwingi sio kitoto 😎
Watu wana speed ya hajabu😂😂😂😂😂 tatizo wewe una type hapa wenzio wako kimya ukitype kujibu ndo muda wanacopy unapishana nazo
Ni ku copy na ku paste tuMwenye 14 nakusalimiaa Shikamoo!!! Unaupiga mwingi sio kitoto 😎
Speed kakaa speed..kuna pipo zina mbio ni nuksiii.. voda zote mbili wa14 kapitanazo dadeqNi ku copy na ku paste tu
Watu wana speed ya hajabu😂😂😂😂😂
😷😷Mimi ni nani usinipige 😂😂 ?
Nikimweleza Bibi yako hizi habari lazima atafurahi sana, jiandae uje tuhesabiwe wote Mjukuu 🙊Babu nakumiss sana jaman
Nitakuja huko week ijayo, nimemiss vyakula vya kiasili
Nitakubutua 😂
Nakuja babu, niwaletee nini na bibiNikimweleza Bibi yako hizi habari lazima atafurahi sana, jiandae uje tuhesabiwe wote Mjukuu 🙊
Hongereni sana 🏄Si kuanzia leo😆
Sentensi ya mwishoMimi nikikumbuka vicheko vyangu Kwenye vunues zenye maelfu ya watu pale Udom akiyanani nacheka Tena[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna dada nilikuwa nakaa naye ibadani,yaani akicheka na mimi nacheka Kwa sababu ya kicheko chake.
Nikicheka namchekesha Tena,akicheka watu wote wanaanza kucheka kwa vicheko vyetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tunasinga mbele na vicheko kama injili.
Yaani huko Whatsapp nikikutana naye nivicheko Kwa kwenda mbele kama mambumbumbu hivi .
Na vile kujibana siwezi yaani unakuta nimeachama hadi mwisho[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Irudiwe mkuu 😌😌😌
ingekuwa voda ningebeba kombe
Babu la mchongoUkianza kuelezea Vita vya Maji Maji utasema 1905-1907 ulikuwepo [emoji23]
Chief wewe kula samaki tu leo hizi ni za Surbi atakuloga😁😁😁Irudiwe mkuu 😌😌😌
Voda kakaaa zangu wapi wenye nazo ndio wanaweka mkuu Sijaambulia kitu😁😁😁
😵💫😵💫😵💫😵💫 wanataka haki sawaChief wewe kula samaki tu leo hizi ni za Surbi atakuloga😁😁😁
na hii ningepitia nayoSelfika na #tigo#
*104*425227332995703#
Nipo vyema Mkuu, habari za siku nyingi?Babu la mchongo
Habari mkuu
Haki sawa wapiii mkuu !😵💫😵💫😵💫😵💫 wanataka haki sawa