Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nikikumbuka vicheko vyangu Kwenye vunues zenye maelfu ya watu pale Udom akiyanani nacheka Tena
Kuna dada nilikuwa nakaa naye ibadani,yaani akicheka na mimi nacheka Kwa sababu ya kicheko chake.
Nikicheka namchekesha Tena,akicheka watu wote wanaanza kucheka kwa vicheko vyetu
Sisi tunasinga mbele na vicheko kama injili.

Yaani huko Whatsapp nikikutana naye nivicheko Kwa kwenda mbele kama mambumbumbu hivi .


Na vile kujibana siwezi yaani unakuta nimeachama hadi mwisho
Sentensi ya mwisho

Imenichekesha
 
Back
Top Bottom