Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,482
- 203,155
Safi mjombaMiaka 10 iliyopita.View attachment 2330255
Picha ziendelee dadaa!Nawasalimu kwa jina la Selfika wapendwa.![]()


Poa Love, niaje?Mambo
😂😂tuliaUnajiamini sana eeh🤣
Vema, ndio inavyotakiwa
Safiii ulikua kijana mzureeee ✌️✌️✌️Miaka 10 iliyopita.View attachment 2330255
Haya hebu nibariki dadako jumapili yangu iishe vizuri mdogo wangu !Picha ziendelee dadaa!
Miss you sana sis mwenye uzi wake!!
Sikuhizi unaingia kwa machale sana humu dadaa Msalimie aliekuficha!!![]()
Watu mnaweka kumbukumbu doh! Mie picha ya mwaka juzi tu sinaaaa!!Miaka 10 iliyopita.View attachment 2330255

Naona umetumiwa dedikesheni na shem darlingUiuuhh aii mama jamani mbona we mzuri hivyooo?
Uuuh aii mama unavyoringa sasa sio shida zako hizo..
Uuuh aiii mama jamani mbona we mzuri hivyo?
Uuuh aiii mama nakusifia ringa, vimba bichwa kama pulizo 😂😂
Ukicheka.. mzuriii
Ukinuna… mzuriii
Lenie
Ukiringa.. mzuriii
kha wewe wa kukosa wa kukuweka bize kweli dadaa acha kutuzeveza!Haya hebu nibariki dadako jumapili yangu iishe vizuri mdogo wangu !
Sina hata wa kunificha kipenzi mrashia anarudi December!!!!
Nasubiria selfii hapa
![]()

Anakusalimia 🤣Naona umetumiwa dedikesheni na shem darling
Hallelujah baba chamdekoAnd then one day, I'll cross the river,
I'll fight life's final war with pain;
And then, as death gives way to victory,
I'll see the lights of glory and I'll know He lives!
Nyoooooooooohhhh! zako huweki mie ndio nikupe!! Setakeeeee🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️👋👋👋👋👋!!kha wewe wa kukosa wa kukuweka bize kweli dadaa acha kutuzeveza!
Sina picha mpya dadaa badae nitaweka!!
Una selfii karibu hapo nikuone kabla sijaenda kuzurura dadangu mzuri mzuri??
Ikitokea nimepiga nitaweka hapa.Safiii ulikua kijana mzureeee
Tuone na ya sasahivi mkuu!!![]()
Sauuwaaa mkuu!! ✌️Ikitokea nimepiga nitaweka hapa.
Zama hizi kutunza picha ni rahisiWatu mnaweka kumbukumbu doh! Mie picha ya mwaka juzi tu sinaaaa!!
piga tena usivae miwani mkuu!!![]()
Sa unaenda Wapi wenawe rudi tuchitchat bana!!Nyoooooooooohhhh! zako huweki mie ndio nikupe!! Setakeeeee!!