Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hii komesha!! Nimecheka kibwegemtozeni

Kuna vitu / watu vinachekesha sana Jamani tucheke tu kwanza kucheka ni afyaaa!!
Mtu masaa yote ukae kisa nini !!
Mimi nikikumbuka vicheko vyangu Kwenye vunues zenye maelfu ya watu pale Udom akiyanani nacheka Tena😂🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna dada nilikuwa nakaa naye ibadani,yaani akicheka na mimi nacheka Kwa sababu ya kicheko chake.
Nikicheka namchekesha Tena,akicheka watu wote wanaanza kucheka kwa vicheko vyetu😂😂😂😂
Sisi tunasinga mbele na vicheko kama injili.

Yaani huko Whatsapp nikikutana naye nivicheko Kwa kwenda mbele kama mambumbumbu hivi .


Na vile kujibana siwezi yaani unakuta nimeachama hadi mwisho🤣🤣🤣🤣
 
Emu acha bange 🤣🤣
Yaaani nilikuwa muanzisha vicheko..watu wanacheka Kwa namna ninavyocheka
Akiyanani katika kitu siwezi kujizuia basi ni kicheko na kilio.


Kicheko Cha matajiri na wenye kazi sijui nitacheka mbele ya Safari huko.


Siku moja boss alipokea simu,,yale maongezi yalikuwa yanachekesha japo ya vitu serious...Mimi kama kawaida mtoto wa watu nikajiachamia🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom