Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Hahaha hiyo siselfiki ulivyonijibu kabu kavu sasaNinae mchumba… hanikatazi kuja jf
Siselfiki..


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hahaha hiyo siselfiki ulivyonijibu kabu kavu sasaNinae mchumba… hanikatazi kuja jf
Siselfiki..


Si Kama tulivyoongea madam?Fanya nikuone basi mkuu


Selfika basi nipone hii arostoHamjambo wanaselfika?nimewamiss kwelikweli


Asante jirani, na kwako piaSawa jirani, iwe siku ya baraka kwako.
Ahahah huyo mrembo sijui anawaza nnAya ya mwanzo umesound kama mzee wa enzi za uhuru.
Aya ya pili utandawazi huu hapa
Hatari sana

Yaani mwenyew nashangaa inakuaje eti, ila mambo yao tuwaachie tu wenyewe
Point ya mwisho ndy yenyewe..tuko pamoja SanaBasi kwetu bado ipo hivyo,siwezi tu kubebana na mtu fb nimpeleke kwetu. Itabidi nitolee maelezo yaliyoshiba haswaaa,
But mshilikishe Mungu kwa hili jambo,,,,maana ndoa sio kitu cha mzaha.
Kwema lknMungu Ananiona kila siku !!Hio kauli inaonekana Imewachoma sana eehh!!! Kwani ni kweli mmekatazwa??? Mbona mnaichukulua siriaz ivo jomoneee!!!! Poleni bana naona imewaingia inawachoma hadi kunakooo!!
Mshashauriwa Hapo na warda nyie jichanganyenii!!

Unakwama wewe Unatuuliza sisi tena mkuu!!!???Kumbe kuna watu wanapata wake humu? Sasa mm nakwama wapi Pau Bae ?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Mungu ni mwema wakati wote.
Kwema mkuu! Shikamoo 😎
Cc Chakorii
Huo mkono hapo kati umekandamiza nini kwani!!????
Dah😅😅marhabaKwema mkuu! Shikamoo 😎
Mkuu huu sasa unafiki😅😅..nimeona umelike kbs picha yangu alafu unaniuliza ningeselfika😄?? Sawa😷😷Hivi ushaselfika!! ??
Ahahah 😅 umenifanya nimerudi tena kuiangalia hiyo picha nione hiko nilichogusaHuo mkono hapo kati umekandamiza nini kwani!!????
Hilo pozi tu mie hhhoooooooiiii!
Uko gudoo!
Masikini Mke wake wakulungwa wanaanza kumpenyezea jomonee!!
Heeee!! Yan kumwambia mtu aweke picha waita kisirani?
Inauma Sana mtu unakufa alafu mkeo wahuni wanamplelekea Moto huku duniani,tena staili zingine za hovyo ambazo wewe ulikuwa umfanyi😭..Inauma Sana😭Masikini Mke wake wakulungwa wanaanza kumpenyezea jomonee!!
Anyways Apumzike anakostahili !
Ndio nimeiona hapo saivi Wenawe usiwe na mdomo wakike hivo wee mwanaume ujue!!!!Dah😅😅marhaba
Mkuu huu sasa unafiki😅😅..nimeona umelike kbs picha yangu alafu unaniuliza ningeselfika😄?? Sawa😷😷