Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Humu Watu wakishaji-engage kwenye love affairs na tu kwisha habari yao!
Wanaanza kuoneana wivu with lots of limitations! Full kuchat kwa step, full kupunguza kujiachia , full makasiriko ya hapa na pale,!! Shortly ni full of less freedom!

Ukitaka kuwa huru na kujiachia utakavyo here just mind your own fuckng business na achana habari za malovee!.

#OpinionsAreNotFact

Alamsiki!!
Kumbe kuna watu wanapata wake humu? Sasa mm nakwama wapi Pau Bae ?

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Inasemekana majobless ndio uwa wanashinda hapa,, itakuwa wamepata kazi ya sensa ndio wako bize

Mtu kama Lenie ni boss sana, akiwa busy sishangai..

Sisi pia wengine na kina Wigelekelo ni mabosssssss huku kwa muhindi, kuna nyakati tunakuwa bize balaaa

Afu kuna wale wa matipo Id,, waaambieni waashe zote
Kwani wewe haujapata mchumba humu? Usisingizie ubosi

Selfika basi mrembo wangu

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Wake katafute kijijini kwenu,

Kilakukukunaanaemfugasasajichanganye
Wewe upo mtandaoni Kama hivi,unataka Kusema kwamba haufai kuwa mke just because upo online..yaani wake /mke anapatikana kijijini kusikko na jf? Not true

Kwanza sasa hivi kuoa/kuolewa ni kubeti maana hakuna wa kijijini wala wa mjini,wote wamebadilika,wote wameathirika na utandawazi,wote wanajua michezo michafu

Wa zamani siyo wa sasa mrembo!!!
 
Back
Top Bottom