Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

From nowhere

Naanza kupekenyua simu

Ndio kusema ukiwa na App ya JF

Umakuwa mwanamke na sio Mke
Mawardat ana mawazo ya ajabu Sana😅

Anachoshidwa kujua ni kwamba Zama hizi mitandao ya kijamii ni sehemu ya maisha yetu.Hao wa vijijini Wana Facebook na kama kutongozana wanatongozana Sana Tu..akili kunkichwa
 
Rip mzee wa Kirachacha
giphy.gif

View attachment 2330101
 
Wewe upo mtandaoni Kama hivi,unataka Kusema kwamba haufai kuwa mke just because upo online..yaani wake /mke anapatikana kijijini kusikko na jf? Not true

Kwanza sasa hivi kuoa/kuolewa ni kubeti maana hakuna wa kijijini wala wa mjini,wote wamebadilika,wote wameathirika na utandawazi,wote wanajua michezo michafu

Wa zamani siyo wa sasa mrembo!!!
Nakupinga.

Ndio nipo mtandaoni na ninafaa kuwa mke,

Lkn mitandaoni wengi ni waigizaji ndugu ukijichanganya utajiona mkosaji kila siku,

Wema wapo na wabaya ni wengi sana humu mitandaoni,,

Hivyo,oa olewa na mtu ambae unajua historia yake na ukoo wake,
 
Nakupinga.

Ndio nipo mtandaoni na ninafaa kuwa mke,

Lkn mitandaoni wengi ni waigizaji ndugu ukijichanganya utajiona mkosaji kila siku,

Wema wapo na wabaya ni wengi sana humu mitandaoni,,

Hivyo,oa olewa na mtu ambae unajua historia yake na ukoo wake,
Mambo ya historia za ukoo

Ni urasimu usio na tija

Nafsi zikisuhubiana mnatangaza nia

Kisha mnaunganisha horse na trailer
 
Back
Top Bottom