Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Nifungulie pmsawa bana,
Endeleeni kuwadanganya watoto wa watu humu mitandaoni![]()
Nikunong'oneze
Nifungulie pmsawa bana,
Endeleeni kuwadanganya watoto wa watu humu mitandaoni![]()
😂😂Nikajua nawe umeopoa humu sasa umepigwa pini usichat na wadada wa huku.Mimi mzima sn madam lenie
Sasa tutakuwa pamoja,nilikuwa bize kidogo,Ingawa kuna mtu huko juu alisema wengine timekatazwa kuingia jf tumeshapata wachumba.. Surbi MUNGU anakuona😅😅
Njoo kijijini kwetu mliayoyoNifungulie pm
Nikunong'oneze

Nipunguze usingizi gani? kwani hizo weekdays uwa silali? 😃😃Mtumishi wa Umma
Nilitegemea kukuona hapa
Mchana
Nikidhani unapunguza usingizi
Kumbe maofisa wa serikali mpo macho
Muda wote![]()
Ninae mchumba… hanikatazi kuja jfKwani wewe haujapata mchumba humu? Usisingizie ubosi
Selfika basi mrembo wangu
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kumbe ulikuwa ibadaniNipunguze usingizi gani? kwani hizo weekdays uwa silali?![]()
Eti maisha ni mafupi kufanya kazi ya kumtimizia mtu ndoto zake..Si unaelewa
Mimi ni beginner bado sijafika hiyo level
English course ninakosoma
Ebu nitafsirie chap
Salamu ziambatane na pichaKumbe ulikuwa ibadani
Naona umerudi rafiki
Nakusabahi
🤣🤣🤣 wake si wanatolewa ndani ya hao wanawakeSema wanapata wanawake sio wake,
Sasa wa mjini wataolewa na nani jamani 🤣Mke akatafute kijijini kwao![]()
Na wanaotoka kijijini kuja mjiniSasa wa mjini wataolewa na nani jamani![]()

SijaogaSalamu ziambatane na picha
Fanya nikuone basi mkuuExactly mkuu..Wiki nzima pilika pilika,leo tunajisalimisha Kwa MUNGU kwenda kutoa shukrani Kwa zawadi ya afya njema na huu uzima
Wakae hapo wasubirie Tanesco wawashe huba 🤣🤣🤣
AnkalNaogopa sana mimi![]()