Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,682
- 208,862
Kwanza unilipe 😂😂😂 nilikufanyia kazi poa sana, si kweli?Hapo zamani hadithi hadithi zamani za kale kulikuwa na babu na bibi 😀😀😳 kama you know unajua tuuuView attachment 2329128
Kwanza unilipe 😂😂😂 nilikufanyia kazi poa sana, si kweli?Hapo zamani hadithi hadithi zamani za kale kulikuwa na babu na bibi 😀😀😳 kama you know unajua tuuuView attachment 2329128
😃😀😃😀 kazi ilikuwa nzuri ya kutukuka , ebu acha irudiwe kidogo ... tuma invoice ambatanisha ma receipt ya EFD tu muamala usome chap chap .. kodi kwa maendeleo yetu na tuzo kwa maendeleo ya viongoziKwanza unilipe 😂😂😂 nilikufanyia kazi poa sana, si kweli?
😂😂😂 sasa napataje EFD risiti pasipo kulipia kwanza? Fanya namna tu wewe,, then me nakuja kukuonyesha supporting documents😃😀😃😀 kazi ilikuwa nzuri ya kutukuka , ebu acha irudiwe kidogo ... tuma invoice ambatanisha ma receipt ya EFD tu muamala usome chap chap .. kodi kwa maendeleo yetu na tuzo kwa maendeleo ya viongozi
😀😀😀😀 malipo makubwa huwa inaanza receipt tena iliyosajiliwa na VAT pamoja na invoice au kama vipi toa Tax invoice .. au tukwepe kodi 🤔🤔🤔🤔😂😂😂 sasa napataje EFD risiti pasipo kulipia kwanza? Fanya namna tu wewe,, then me nakuja kukuonyesha supporting documents
Tukwepe bana, wakati naitoa watakata tozo lao 😂😂😂😀😀😀😀 malipo makubwa huwa inaanza receipt tena iliyosajiliwa na VAT pamoja na invoice au kama vipi toa Tax invoice .. au tukwepe kodi 🤔🤔🤔🤔
😀😀😀 kweli hawakuwepo wakati unaumiza kichwaa.. acha tukwepe kodi sasa niitume kwenye basi gani naweka kwenye basi tu hakuna makato hapoTukwepe bana, wakati naitoa watakata tozo lao 😂😂😂
😂😂😂 bm tu😀😀😀 kweli hawakuwepo wakati unaumiza kichwaa.. acha tukwepe kodi sasa niitume kwenye basi gani naweka kwenye basi tu hakuna makato hapo
Mr vocha
Basi naenda ofisini kwao kuituma kwenye bahasha, hapo hatukatwi tozo wala kodi aina yoyote ile 😀😀😀😂😂😂 bm tu
Aah, brazaaaaa!Makapuku
Mimi sina Bahati 🤣
Marahaba cute braza 🤣Aah, brazaaaaa!
Shikamoo braza!
Keshalizwa mtu hapaa!!Hapo zamani hadithi hadithi zamani za kale kulikuwa na babu na bibi 😀😀😳 kama you know unajua tuuuView attachment 2329128
Kama vipi ilete kwa miguu 😂Basi naenda ofisini kwao kuituma kwenye bahasha, hapo hatukatwi tozo wala kodi aina yoyote ile 😀😀😀
Nimepitwa!!! Hebu njoo uselfike leo nikuone sijawahi kukubahatisha kaimu chairperson wa gossipers jf!!Antonnia Carrasco putin Kelsea Lovelovie sophy27 Heaven Sent Tayana-wog Surbi cocastic Lizzy myoyambendi Tinsley vocha hazina wenyewe huku mkuje jamanii!
Karani kwanini unapiga simu? Si uje nyumbani?? 😅
Kaka Mjep Shikamoo 😎!! Nakusabahi kwa jina la vocha ya voda kakaa!!Selfika ns #voda#
*104*438872979930921#
Wee mtu Turudishie binti abiudi wetu !