MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,444
- 69,265
Hii ngumu kumesa, nabaki kuwa Tomaso mpaka kesho......Vocha zinapanda hapa zikiwa mpyaaa
Kesho wadau watakupa ushuhuda hapa
Sikufichwaa hata ubusy tuu Mr vocha nilikuwa nalinda kibanda chetu cha vochaa et ila nimeona umekabidhisha Atonnia 😔 ndio maana nimekujaMhhhh
Hakawezi kukosekana hata ka zamani
Ila mida mnayorudi hii nyinyi wapotevu ni balaa
Mimi mzima wa afya nimefurahi kukuona tena hapa, bila shaka wewe pia ulikua salama huko ulikofichwa mzungu wetu
Nikweli mkuuNiko powa kabisa mkuu, hii ID yako ndiyo naiona leo aisee.....
Hope weekend yako iko powa......
Powa powa mkuu, tuko pamoja.........Nikweli mkuu
Kabisa mungu ni mwema hope na kwako pia iko poa
Antonnia pamoja na kumkabidhi kibanda cha vocha lkn kanimwaga hadharani 😁😁Sikufichwaa hata ubusy tuu Mr vocha nilikuwa nalinda kibanda chetu cha vochaa et ila nimeona umekabidhisha Atonnia 😔 ndio maana nimekuja
Mimi mzima kabisa namshukuru mungu
Kaka ndiyo kasema hivyo 😆😄😄Antonnia pamoja na kumkabidhi kibanda cha vocha lkn kanimwaga hadharani 😁😁
Kaka yako Carrasco putin akanambia niendelee kuvuta subira hadi uachike naamini sasa utakua umeachika kwa mumeo ili nifaidi mema ya nchi
Na hapa nimedanganywa kumbeeee😭😭😭😭😭😭 basi huu moyo uniache nilewe mpaka asubuhi......Kaka ndiyo kasema hivyo 😆😄😄
Amekudanyaa walah
Usizidishe tuu kuwa makinii 😄Na hapa nimedanganywa kumbeeee😭😭😭😭😭😭 basi huu moyo uniache nilewe mpaka asubuhi......
Selfika basi rafiki umemisika kweliUsizidishe tuu kuwa makinii 😄
Selfika basi rafiki umemisika kweli
Umakini upo sana tuu
Afadhali😍😍
Hahahah kesho inshallahAfadhali😍😍
Na mimi nilale sasa
Ahsante mzungu wetu😍😍
Hapa wallah nasubiri hadi uachike tu hamna namna
InshaAllah🙏🙏🙏Hahahah kesho inshallah
Usiku mwemaa 🙏
Nadhani yuko kozi ya kijeshi kamanda yule namimi sijamuona siku nyingi hapaHivi Karma a.k.a Zoe amepotelea jameni ???
Aisee, ni muda umepita sijamuona kabisa........Nadhani yuko kozi ya kijeshi kamanda yule namimi sijamuona siku nyingi hapa
MakapukuHivi Karma a.k.a Zoe amepotelea jameni ???