Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Kama kawaidaaBiurifooo
😍😍😍
Naomba siri ya hilo wimbi didi akee
Sitaki 😂
Kama kawaidaaBiurifooo
😍😍😍
Naomba siri ya hilo wimbi didi akee
NaipendaKumbe hii nyimbo tunaikubali wengi mimi nilipoiskia mara ya kwanza nikaipenda, jay melody na marioo wanakimbiza sana
We jamaa nikikukamata sasahivi nakupeleka polisi.Mtoto mzuri Saint Anne
Ameua sana huo wimbo 🔥Kumbe ni huyu
Mi nashangaa tu daily voicenote natumiwa za huu wimbo na muimbaji hata simjui
Siku hizi portion ndogo nimekuachia Lizzy
Niambie jamani, nibadili hair style next week.Kama kawaidaa
Sitaki 😂
Tege kama langu..
Kheee jamani 🤣🤣🤣Sifahamu kama ana mtoto.
Ila alivyo hivyo lazima mtoto wake awe mcute maana ni muhandsome😍
Khaaa 😂😂😂😂Tege kama langu..
Yaani naiona miguu yangu hapo
Jirani imekuaje..Tujifunze kushona midomo yetu wana selfika kila mmoja ana mdomo na anajuaaa kuongea vilevile kujifanya wajuaji mashauzi classic kumbe watu wanatuchora tu shenze typee mbwaa malaya wakutupa kabisa pumbafuuuuuu!!!!!!
Cuzoo huyoookumbd mpo
Nalalaje sasa jamani 😫 sijamchamba Antoni nalalajeeeWewe emu lala, kesho j3😂😂😂
Weee yule Kusah, nae ni mcute balaaKheee jamani 🤣🤣🤣
Emu acha kunitilisha aibu
Si amezaa na aunt Ezekiel huyo? Ni ex wa Ruby.. babe daddy wa shangazi Eze
Hakuna kitu jirani nihuku kujifanya tunawajua watu kuliko wajijuavyo tu ndio kunanisumbua mbilikimo niliekosa soko naishia kudandiadandia tu wanaume hovyo msengerema wakwanza mimi!!Jirani imekuaje..
Buku hata vocha haitoshi vizuri 😂Niambie jamani, nibadili hair style next week.
Nitakupa buku😛
Don’t tell me nimewamix 🤭Weee yule Kusah, nae ni mcute balaa
They kinda look alike
Uzi wetu uwe wa kuleta burudani, kuselfika. Maisha yawe mepesi..Hakuna kitu jirani nihuku kujifanya tunawajua watu kuliko wajijuavyo tu ndio kunanisumbua mbilikimo niliekosa soko naishia kudandiadandia tu wanaume hovyo msengerema wakwanza mimi!!