Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😁😁😁😁😁

Nasikia vilele vinatofautiana kwenye intensity mkuu. Kuna kimoja sijui kinaitwa super kilele. Hiki inasemekana ni hatari na si ajabu kupasua capillaries za huko kichwani. Wanasayansi wanasema huwa inatokea mara moja kwa kila vilele 100 - 500 hivi japo siyo lazima kwa kila akifikiaye kuzima kama huyo binti.
Kwa taarifa hii inawezekana kabisa mjukuu wako cocastic hajafika hicho super kilele, maana pamoja na mizagamuo yoote anayofanya anatafuta kilele cha 22😁😁

Mkuu hii mada inabidi tuianzishie izi kabisa kuna madini hapa vijana watapata, na huu mjadala ukae sawa kuna wadau washereheshaji ni muhimu wahudhurie
 
Kuna mtu niliona anatype masaa mengi sioni komenti yakeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€­πŸ€­πŸ€­!
Au ndio ashanyang'anywa simu huko??? Jamaniiiiii msitufanyie hiviiiπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!!
Tumewazoea sieee!!
cocastic shogangu ukwapi lakiniii???
 
Acha tu kakangu!! Nina kama wiki 2 mzima mtu kanivuruga vibaya sana acha nikomae nae mpaka kieleweke!!
Tuliza jazba kwanza kila tatizo litaisha kwa kuzungumza! Take time muyasovu kwanza na asante kwa Selfii ya kulalia!! Najua Usiku wangu unaenda kuwa bareeeeeeeedaaaa kabisa!! ✌️✌️✌️!!😘
 
Asante sana dada! Una nyama ya ulimi hadi natamani uwe wifi yangu!!
Kwanza Kakako yuko wapi humu??? ????πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ€”πŸ€”πŸ€”Kama humu asante mdogo wangu humu dadako nishashindwaaa kitambooo! Siwawezi humuuu afu napenda uhuru na kujiachia mtu mzima mieee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£!πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kwanza Kakako yuko wapi humu??? ????πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ€”πŸ€”πŸ€”Kama humu asante mdogo wangu humu dadako nishashindwaaa kitambooo! Siwawezi humuuu afu napenda uhuru na kujiachia mtu mzima mieee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£!πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Aisee..
 
Screenshot_20220814-223745_1.jpg
 
Back
Top Bottom