Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Nina oven sijui kuitumia nitakupaSubiri ninunue oven ..sijui mwaka gani
Utakula hadi ukinai .
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Nina oven sijui kuitumia nitakupaSubiri ninunue oven ..sijui mwaka gani
Utakula hadi ukinai .
Nunua yenye jikoSubiri ninunue oven ..sijui mwaka gani
Utakula hadi ukinai .
Mgawie Tin
Upo vizuri boss
Yeah zuri sana hiloNunua yenye jiko
Lile la laki 6Yeah zuri sana hilo
Mchawi pesa ipo siku tu 🙏🏿
Tena lile kubwa fulani
Hii hapa
Huoni imechotwa hapo
Nitakununulia siku nyingine
Na hotdog zao tamu balaa .View attachment 2299797



Yeah zuri sanaLile la laki 6
Mchezo mmoja tu unatosha
Sema sasa mpk nipange nyumba kubwa 😏
Jiwekeshee unatoboa tu
Mingii isio na idadii
ED wetu anapenda kutuambia ‘jitabirie na kujiombea vikubwa..Yeah zuri sana
Kubwa na kisasa
Linahitaji pawe spacious kiana
Sijui lini ... Ngoja niweke matumaini tu
Tena kumeanzaaaa kunougaaaa mnooo.Wanaume wanunulieni babes wenu jersey
Huko kwa ground kumeshaanza kupendeza![]()







Uanze tuchangmshe ubongo tenaLitakufaaaa jituuuuuuuu huu mwaka.
Centrade Defender, mutu ya kazi, mutu ya kabumbuu.
Nguvu 1
!!!!!!!
Afu Okwaa na Manzoki wapo njiani.
Msimu uanze jaman.
View attachment 2299854
Thank you dear for this wonderful and inspiring message .. be blessed .ED wetu anapenda kutuambia ‘jitabirie na kujiombea vikubwa..
Kuna vitu ukiamua within a year tu unacho
Mama k... miss you dear!!😍
Miss too kipenzi😍Mama k... miss you dear!!😍
Shabiki kindakindaki👌👌👌😘😘😘😘😘😍Litakufaaaa jituuuuuuuu huu mwaka.
Centrade Defender, mutu ya kazi, mutu ya kabumbuu.
![]()
Nguvu 1
!!!!!!!
Afu Okwaa na Manzoki wapo njiani.
Msimu uanze jaman.
View attachment 2299854