Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Sio poaNyieee samaki![]()
Sio poaNyieee samaki![]()
Naomba vocha doktaBasi ndo maana , pole siyo hela ndogo hiyo .
Uwe unatoa tu dirishani ñdugu
Wewe sio kisport sport
Nikuombe wewe boss kubwa
Wabahili...mapenzi hawajui ,, kubembeleza hawajuii wamejaa roho ya Kwanini ni shida juu ya shida tupu!!😏😏Wabahili ile mbaya
Sijui kwa wake zao ila
Ila usiangalie peke yako...kama vipi njoo tupeane company.Na hiki kimvua cha Dar na movies vinaenda sawa sana![]()
Mie pia tu mb twangu twapumulia mashine hapa !!
Aisee..Wabahili...mapenzi hawajui ,, kubembeleza hawajuii wamejaa roho ya Kwanini ni shida juu ya shida tupu!!😏😏
Wabahili...mapenzi hawajui ,, kubembeleza hawajuii wamejaa roho ya Kwanini ni shida juu ya shida tupu!!😏😏
Kumbe wapo hivyoWabahili...mapenzi hawajui ,, kubembeleza hawajuii wamejaa roho ya Kwanini ni shida juu ya shida tupu!!😏😏
Sijui wanafaa kwa kitu gani hata!!Aisee..
Wabahili...mapenzi hawajui ,, kubembeleza hawajuii wamejaa roho ya Kwanini ni shida juu ya shida tupu!!![]()





























Mwehh huko ndio chenga tupu... wana mapenzi ya kufosi kweli..majeuriiiiKumbe wapo hivyo
Mbona balaa hilo
Nikajua wanaweza kuwa romantic kidogo dah
Bado mwenye kidoti nae aje na meme yake!
Hatujakaa sawa mwenye mwanya nae anatupa !!!![]()

Kila penye ubaya,uzuri umejificha.Sijui wanafaa kwa kitu gani hata!!
Atajuta kumfahamu
COET?? wee acha zako. Hebu usiwakosee adabu wahandisi mxiiieeew.Udsm wanavaa vizuri,, ila uzuri ni kawaida mno,, mnabebwa na udbs,,, tukiitoka hyo college na wale waalimu,,, tuatakimbizana
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app






Si ulivotutolea mahesabu ya hio Bank yenu ya aika mbe
Hawana hata maana !!Kila penye ubaya,uzuri umejificha.