Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,497
- 203,194
Kuna mpare atakuwa alimess up kwako 🤣Hawana hata maana !!
Kuna mpare atakuwa alimess up kwako 🤣Hawana hata maana !!
Hapana nimeishi nao sana sehemu.... weee siwezi thubutu hata kwa bahati mbaya hao na pacha waoKuna mpare atakuwa alimess up kwako 🤣
Sasa mbona wanakuwa watata wakati mapenzi hayapo hivyoMwehh huko ndio chenga tupu... wana mapenzi ya kufosi kweli..majeuriiii
🤣🤣Kuna mpare atakuwa alimess up kwako 🤣
Nilipata third year mmoja pale NIT ni kisu Dunia inasoma namba![]()





NIT hii ya mabibo?? Hebu huko nawee.





NIT hii ya mabibo?? Hebu huko nawee.
Hapana nimeishi nao sana sehemu.... weee siwezi thubutu hata kwa bahati mbaya hao na pacha wao
Kopa songesha ntakuja kulipaWana familia msaada vocha jamanii napumulia mashine mwenzenu!!
Wapare wako sawa...watu hawawezi kuwa wabaya kabila zima..Mmeshaharibu siku yangu
Wapare tumewakosea nn
Usiku mwema
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Wee dogo?? Mic u. Hebu nibariki selfie yako.Mpenzi![]()




Nipo dear,,,,ushafika??Mic u dyadya.![]()
Unajua mtu ambae hakopesheki.. ndio mimi sasa hapa nikiweka vocha narenew😆😆😆😆!!Kopa songesha ntakuja kulipa