Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Labda ukisoma law huko
Kwingine mbona raha tu ..
Malecturer wa law huwa wanoko sana ,wao pekee yao ndo hawatoi notes wala pdf
Labda ukisoma law huko
Aah jamani ushanipotezayupiiii??
Eatsum moaa, jojo na pipi ivory.
Labda umueleze vyema na umsifie
Ndo walivyo
Jana wamemaliza mitihani wamekata makaratasi eh
Huwa wanafanya hivi kila mwaka View attachment 2296627





wee noumaaah.IRDP hawana hizo njaa
Kuna mapisi kibao pale
Parking inafurika, hawawezi kuwa na hizo njaa





Labda umueleze vyema na umsifie
La sivyo utakutwa na jambo






yaan wee acha tyuuh.Emu nambie PM 🤣didi akee, wee nae, ushasahau.
Wana vibe haowee noumaaah.
NIT unawadharauWanaume
MUHAS
IFM
MZUMBE
UDSM
UDOM
etc.![]()




Mtoto mzur kama ww unasoma mzumbe haki dunia haipo SawaLabda ukisoma law huko
Kwingine mbona raha tu ..
Malecturer wa law huwa wanoko sana ,wao pekee yao ndo hawatoi notes wala pdf


Hahha nishamaliza hukoMtoto mzur kama ww unasoma mzumbe haki dunia haipo Sawa
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Wee NIT hakuna kitu paleee.NIT unawadharau
Pisi kali zote wameiga DSJ hao ni legendary
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hongera zakoHahha nishamaliza huko
Kwani Mzumbe ina shida gani ..
Tujifunze kwa maendeleo ya watu
Acha uongooo, ni wazuriii haswaaa na wako classic. Kuwa mkweli.