Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha mama kwani wewe haukuwakuta wale wa kujitolea wa miezi sita??

Hata hivyo mie hayo mazoezi ya jakata hayanishitui ninayoyawazia ni yale ya TMA Monduli yale ya kuwa officer aisee nasikia ukifika pale haki za binadamu zinaishia getini!!
Hivi mazoezi Ni magumu eeh,,?
Vipi kuhusu Askari wanaokuja huko kupata course ya muda wa miezi kadhaa..mazoezi Yao yapoje?
 
Hahahaha mama kwani wewe haukuwakuta wale wa kujitolea wa miezi sita??

Hata hivyo mie hayo mazoezi ya jakata hayanishitui ninayoyawazia ni yale ya TMA Monduli yale ya kuwa officer aisee nasikia ukifika pale haki za binadamu zinaishia getini!!
Sikuwakuta.

Haki za binadamu zinaishia getini.
Yale ya kwetu naona yalikuwa marahisi..nilikuwa nashinda shamba kulima matikiti
 
Ndiyo yaani air hostess hana tofauti sana na rubani na ndiyo maana mara nyingi huwa wana hook up wanadate wao kwa wao sasa mtu muda wote unazunguka na midege huo muda wa kuwa na familia unaupata wapi??
Doooh
Hiyo hasara sana.
Ila kweli...hata kudate na rubani Ni kujitafutia vidonda vya tumbo
 
nyoo halafu unanicheka mimi niliyeenda kwenye kambi ya wangojwa wakati mwenzio kwenye graduation nilikuwa kwenye kwata aise tulipractice karibu mwezi mzima na yale madude ilifika kipindi tukawa tunaweka vitambaa kwenye mabega maana mifupa ya mabega ilianza kuuma
Mimi Kama nilienda kutalii tu
Sikushika kwa kweli..mkono wangu mmoja ni mbovu
 
Back
Top Bottom