Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Sasa ruvu na wewe Ni wa kunisumbua?nyoo halafu unanicheka mimi niliyeenda kwenye kambi ya wangojwa wakati mwenzio kwenye graduation nilikuwa kwenye kwata aise tulipractice karibu mwezi mzima na yale madude ilifika kipindi tukawa tunaweka vitambaa kwenye mabega maana mifupa ya mabega ilianza kuuma



Mgonjwa aliyepo msange Ni Bora kuliko wazima mlioko ruvu.
Waliwazoa mibonge mmeenda huko kula tu mkarudi vilevile

.Ningekuelewa Kama ungekuwa umeenda kanembwa





look at ya

