Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
weee ningemtafuta yule saa hii ningekuwa mjane nalia msiba





Lakini ungekuwa ushasafisha nyota

Tena ungepata na connection jeshini

weee ningemtafuta yule saa hii ningekuwa mjane nalia msiba







Haya studentNaomba picha ulizofuta
Hahahaaa mi nikipole sana ujueUnakuwa mnyama
Basi kuna mtu nahisi anayafanya hayo maskini na alivyokuwa mzuri halafu anageuzwa kuwa mnyama
Kina Sanchez magoli Mungu anawaona![]()
Hahaha kila kitu rahisi ukifungua moyo.Hivi mazoezi Ni magumu eeh,,?
Vipi kuhusu Askari wanaokuja huko kupata course ya muda wa miezi kadhaa..mazoezi Yao yapoje?
udom hapo ama?Hawachi, Zurri na ndugu zangu wengine katika imani.
Maulid inakaribia..tusisahauliane jamani kualikana.
Allah atupe wepesi tuifikie In sha'Allah.View attachment 1255319View attachment 1255320
Naomba picha yako ya kipara.Hahahaha mkuu mimi siyo mayai mayai bana na siyo kwamba ndiyo itakuwa mara yangu ya kwanza kabisa maana nilishapitia jakata kwahiyo nina kamsasa kidogo
Didnt mean in a bad way...nimeandika kwa kuvumisha tu kutumia ngeli ya ki-viEti vile vimama
Kuna vigezo gani boss?
wapi wewe sasa ndiyo kama hivyo ulienda ukaishia kuwa unamwagilia matikiti tu hivi ulienda hata route march na syndicate wewe?? Na ulivyo mvivu kutembea!!
Ndiyo bossudom hapo ama?
Najua ulichomaanisha boss Wala usiwe na shaka..Ni vile tu napenda kufurahi na uwasikishaji wako wa hoja ukanichekeshaDidnt mean in a bad way...nimeandika kwa kuvumisha tu kutumia ngeli ya ki-vi
Vigezo nimeandika hapo tayari mbona, uzuri sio ishu sana..
Cabin Crew | Emirates Group Careers









Wapole nyie huwa mnakuwa wabaya SanaHahahaaa mi nikipole sana ujue
Kwanza siongeagi kabisa.

basi kumbukumbu zangu viko vizuri sanaNdiyo boss
Nifanyie connection boss na Mimi nije hukoHahaha kila kitu rahisi ukifungua moyo.