Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ukifanikiwa usinisahau na mimiDoh nimekuambia na mimi nakuja huko nifanyie mpango basi mkuu
Ukifanikiwa usinisahau na mimiDoh nimekuambia na mimi nakuja huko nifanyie mpango basi mkuu
Ila wa kwetu tz mbona Ni wa kawaida tu.
Halafu hivi wale watu wanasomeaga Kitu gani Hadi kupata zile nafasi eti
Kumbe.Yeah wetu wa kawaida wale wa mashirika makubwa duniani ndiyo wazuri kama wamechorwa
Unasomea chochote ila ndiyo ujue lugha zaidi ya moja kwa hapa kwetu nasikia ni mbili tu kiswahili na kiingereza ndiyo lazima lakini kwa hayo mashirika makubwa nasikia ni lugha sita za kimataifa of which unasomea tu



This morning View attachment 1255357
Hahaha...Soma post yangu mekuelezea...Ushagoo iko wapi jamani??
Kabla ya kuingia kwenye huu uziUwiiii.
Hembu kuwa siriazi
This morning View attachment 1255357
Nije lini? Ni wapi huko?.Kijijini kwetu mkuu!
Nina Hadi mswaafu
Napenda kujifunza mambo mengi hasa kuhusu dini.
Bado haijakaa kichwani ila najitahidi kuiweka..na alhamdulilah najua kuandika siku hizi ile lugha Yao.
Mwanzo ilikuwa kasheshe kuandika toka kulia kwenda kushoto
Kabla ya kuingia kwenye huu uzi
Itabidi tuwe tunayaweka kando haya mavyuma walai.






.




kwa kweli huko siasani acha vinipite tu,, MMU kwenyewe tu jukwaa langu pendwa naona uvivu kuingia nashinda huku sembuse huko siasani??Ilikuwa mwezi uliopita nadhani.
Engine ilifeli...ilikuwa maeneo ya tabora..ikabidi irudi kutua dar Maana Dom hakuna uwanja unaoeleweka.
Utasikiaje Kama hauji kule siasani![]()
Nimesubiri dakika mbili nzima picha iload nikijua nakutana na mtoto mkali kumbe maporomoko ya maji??![]()








