Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Uwe unapanda mwewe...
Yesu wangu.
Kweli Mimi kusafiri sio hobby yangu.
Muda wa safari ukifika nawaza Sana Maana homa huwa inanibana angani.
Natamani ningekua nasinzia tu na kujikuta nimefika.
Huwa najitahidi kulala safari nzima unakuta Hadi mhudumu ananifwata kuniuliza Kama naumwa.
Namjibu nipo sawa tu.
 
Sasa wewe safari ya ndege tu unachoka?? Wakati wengine tunatamani hata ndege zipate hitilafu ili safari iwe ndefu??

Kuna dereva mmoja wa shuttle kule mbeya alinisimulia walipanda fast jet kutoka dar kuenda mbeya wakafika mbeya wakakuta mvua kubwa inanyesha wingu zito limetanda anga haliko shwari hivyo hawawezi kutua

Rubani akaambiwa arudishe ndege dar wakalale dar watarudi mbeya kesho kwa ticket zile zile na hakutakuwa na gharama zozote za ziada labda sehemu za kulala kwa siku hiyo ndiyo abiria wangejitegemea

Nasikia wakarudi dar kesho yake wakaanza tena safari kuenda mbeya ndiyo wakafika salama,, nikasema looh mimi mbona na kusafiri kwangu kote na ndege sijawahi kukutana na kadhia kama hizo jamani ili safari iwe ndefu maana dar mbeya lisaa limoja tu mmefika sipendi mimi..
Yesu wangu.
Kweli Mimi kusafiri sio hobby yangu.
Muda wa safari ukifika nawaza Sana Maana homa huwa inanibana angani.
Natamani ningekua nasinzia tu na kujikuta nimefika.
Huwa najitahidi kulala safari nzima unakuta Hadi mhudumu ananifwata kuniuliza Kama naumwa.
Namjibu nipo sawa tu.
 
Sasa wewe safari ya ndege tu unachoka?? Wakati wengine tunatamani hata ndege zipate hitilafu ili safari iwe ndefu??

Kuna dereva mmoja wa shuttle kule mbeya alinisimulia walipanda fast jet kutoka dar kuenda mbeya wakafika mbeya wakakuta mvua kubwa inanyesha wingu zito limetanda anga haliko shwari hivyo hawawezi kutua

Rubani akaambiwa arudishe ndege dar wakalale dar watarudi mbeya kesho kwa ticket zile zile na hakutakuwa na gharama zozote za ziada labda sehemu za kulala kwa siku hiyo ndiyo abiria wangejitegemea

Nasikia wakarudi dar kesho yake wakaanza tena safari kuenda mbeya ndiyo wakafika salama,, nikasema looh mimi mbona na kusafiri kwangu kote na ndege sijawahi kukutana na kadhia kama hizo jamani ili safari iwe ndefu maana dar mbeya lisaa limoja tu mmefika sipendi mimi..
Natamani ningekuwa na huo uwezo nipandage zangu ndege .
Kwa hiyo wewe unafurahia kushindwa kutua au sio..Kuna madogo akili zao za bangi Sana
 
Back
Top Bottom