Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Daah aise sijasikia hiyo yaani ningekuwepo ningefurahi sana
Wewe una bangi kichwani sio Bure
Ukazunguke na li Etihad ..kwanza ujasiri wa kufurahi unautoa wapi chombo kimeshindwa kutua.

Nina wasiwasi ulitamani juzi Kati ungekuwa kwenye air tz iliyokuwa ikienda mwanza iliyopata hitilafu na kurudi kutua dar
 
20191106_104024.jpeg
Neema za Allah
 
Wacha wee kwahiyo mwenzetu quran yote ipo kichwani?? Sasa unasubiri nini kuolewa na Al Watan wetu jamani??
Nina Hadi mswaafu
Napenda kujifunza mambo mengi hasa kuhusu dini.
Bado haijakaa kichwani ila najitahidi kuiweka..na alhamdulilah najua kuandika siku hizi ile lugha Yao.
Mwanzo ilikuwa kasheshe kuandika toka kulia kwenda kushoto
 
posta na mbezi tu?? Na ukizingatia zipo mwendokasi za mbezi to kivukoni au unaongelea mbezi beach??
Yaani mimi kutoka iwambi Hadi uyole tu Ni shughuli pevu.
Aliyeniroga kwenye safari alishakufa.

Naweza nikatoka hapa iwambi Hadi mwanjelwa narudi naumwa.
 
Not real...

Kuna vigezo vigezo muhimu, kama urefu, wingspan, afya, uwezo wa lugha n.k...

Unene unapunguzwa kwa mazoezi kama kwingine upo vizuri...

Huo uzuri unasema sijaona, hivi ushawahi ona wadada wa KQ wewe? au vile vimama vya KLM?
wanachukuaga wadada wazuri tu mkuu kisura na kiumbo
 
Back
Top Bottom