Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,486
Daah aise sijasikia hiyo yaani ningekuwepo ningefurahi sana
Wewe una bangi kichwani sio Bure
Ukazunguke na li Etihad..kwanza ujasiri wa kufurahi unautoa wapi chombo kimeshindwa kutua
.
Nina wasiwasi ulitamani juzi Kati ungekuwa kwenye air tz iliyokuwa ikienda mwanza iliyopata hitilafu na kurudi kutua dar




