Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie Nandy ana haki ya kulia, kapitia mengi mnooo.
Ila ndoa tamuu, ukiona leo vile unaweza shawishi mtoto wa mama mkwe muende kanisani mkaape.

Kungwi wa mchongo ebu nieleweshe

Ikiwa ndio wamefunga ndoa baadae ukumbini

Mkitoka hapo ni full mzagamuo

Sasa je swali

Leo watapeana wakati bibie kitumbo kama chote

Ama watatazamana kama majogoo yaliyochoka kukimbiza tetea
 
Huku kitaa ndyo tulimtonya nenga oiii hiko kimimba sio chako ndyo maana mwili upo kwenye harusi akili ipo kwa papaa mukulu mopao

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Kwahiyo nyie ndio mlimshika miguu hiyo siku alivyokuwa anapokea mbegu za papaa??


Mimba iwe ya papaa au vipi, mtoto akizaliwa ni wa nenga,

kwani alitumwa akalime kwenye shamba la mwenzie!!!
 
Yupo vizuri
Aah nime mmiss Vananessa kwenye fashion alikuwa ni motoo ingekuwa hii ndio ndoa sipati picha ingekuwaje
Dear, siku ya ndoa ya Vanessa ntakua mpambee, labda iwe huko ulayaa, au Kwingine, ila km Bongo? Lazima niwepooo nishuhudie,

Naomba kila siku Rotimi afanye kweli. Yaan hawa watu natamani wafunge ndo wanaendana mnooo.

Kwanza vee ana swaggzz na mjanja. Hajapoa km nandy.
 
20220716_143315.jpg
 
Back
Top Bottom