Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,922
- 147,716
Hajapenda nandy kuolewa na nenga[emoji16]Wee nae acha bas kisirani kwa nandy, hata honey moon hawajaingia ushaanza nuksi khaaaah.
Nenga kashakubali sasa wee kwann uumie?? Acha hizo bhana.
Hajapenda nandy kuolewa na nenga[emoji16]Wee nae acha bas kisirani kwa nandy, hata honey moon hawajaingia ushaanza nuksi khaaaah.
Nenga kashakubali sasa wee kwann uumie?? Acha hizo bhana.
Nasubiri vochaaa hapa mie, afu nataka bundle la mwezi.Vp nikupe location?[emoji28]
naomba vocha mkuu
Lazima uwepo wifi[emoji38]Naomba kuwepo maana sio kwa hilo gauni ni zuri mnoo
Mmmmh wee mopao wamekulana, ila mimba ni ya Nengaa.Nazingua tu hyo mimba ni ya nenga Kwanza nandy mpare mwenzangu hajawahi kuwa na mwanaume tofauti na nenga
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Jaman sinaga hzo pigo mm nilikuwa kama debate Kuna pande mbili sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inaonekana kuna umbea unakukereketa[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwaga mchele.
Mimi na wewe tena nitakuunga la mwezi..be patient[emoji4]Nasubiri vochaaa hapa mie, afu nataka bundle la mwezi.
Hebu fanya bas, mbna unaniangushaaa khaaa.
DM ur mobile no.naomba vocha mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] itabidi akubali sasa, hakuna namna.Hajapenda nandy kuolewa na nenga[emoji16]
Hapo sasa ndo utafanya mambo mukidee shikidee.Mimi na wewe tena nitakuunga la mwezi..be patient[emoji4]
Sema wameendana bana wote wazuri yaniIla Nengaa mzuri jamaniiiii, ana lips za kiume afu za kishababy.
Nandy anazifaidi kuzinyonya na kuzing'ataa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani siri sasa?? Ila mimba ni ya Nenga.Ohooo huko mm simo bana [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Ndyo og hyo aiseeAnamuoa make wake aaah.. ndoa part two hiyo
Yaan mnoooo hawa ndo wanandoa kweliiii.
Ehh mimba ya nenga hyo [emoji847][emoji847][emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani siri sasa?? Ila mimba ni ya Nenga.
MmmhJaman sinaga hzo pigo mm nilikuwa kama debate Kuna pande mbili sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Night twende ukumbini tukalicheze sebeneYaan mnoooo hawa ndo wanandoa kweliiii.
Wamedamshiiiiiiih
HuyuEhh mimba ya nenga hyo [emoji847][emoji847][emoji847]
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app