Sasa hospital zingine wanalala majikoni, na njeee.Hivi jamani hospital za government vyumba vya private yani... Ukija na mgonjwa wako mgonjwa analala kitandani ww unaelala na mgonjwa unashinda umesimama unalala umesimama.... Ukiweza ndo utandike chini kabisa ulale.... Na hapo ndo private grade one sijui vyumba vingine ambazo vina watu wengi sijui inakuaje..... Lkn huu si ustarabu aiseh






ndani hawaruhusu kabisaaa.Ndio, tuone na taarab, nasikia una mzigo kweli kweliWoiiiiiiiiiiiiih.
Shida ni lips tyuuh??
Kweli sijaonammmmmh, acha uongo
Makubwaaaaa tenaaa, woiiiiiiihNdio, tuone na taarab, nasikia una mzigo kweli kweli
Aiseh ni Changamoto mnoSasa hospital zingine wanalala majikoni, na njeee.
ndani hawaruhusu kabisaaa.
Mtoto muongo sanaSasa hospital zingine wanalala majikoni, na njeee.
ndani hawaruhusu kabisaaa.

Asante pilotNzuri, kwa kweli we mtoto basi tu, hivi unajua we ni mrembo sana.


In'shaaAllah17th Dec.
Kwako pia mamaMuwe na usiku mwema guys![]()
Eeeh mtoto kama mwarabu...

Nakwako pia kipenzi!!
Mnooo yaan hospital za GVT ni mateso matupuuu, huduma mbovu tyuuh.Aiseh ni Changamoto mno
Kila kitu mie muongo, wee umwzoea, Kairuki, Aghakhan, sasa huku Hospital za wilaya utayajulia wapi??Mtoto muongo sana![]()
Achana na hayo ongeza picha nyingineKila kitu mie muongo, wee umwzoea, Kairuki, Aghakhan, sasa huku Hospital za wilaya utayajulia wapi??

Yani ushawai kuchoka hadi ukipata nafasi ya kujiegemeza ukutani unasinzia huku umesimama....Mnooo yaan hospital za GVT ni mateso matupuuu, huduma mbovu tyuuh.
Sitakiii nipe bundle kwan.Achana na hayo ongeza picha nyingine![]()






Kumbe upo vizuri sana. Ongeza pic nyingineMuarabu koko au?![]()