cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Pract ndo inabeba wengi kutoka O level kwenda advance, hakuna kufeli. Mie maabara niliiba taste tube,Weeeee watalipa kweli nimenotice majina yao watakuta madeni kwenye clearance Najua hawa wanaochukua kemia /Phys wamechujwa ipasavyo so kama wote lazima watafaulu walau na watakuja kuclear tu!











