Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,211
Sahivi kuna kijoto sijui kimetoka wapi,, ngoja kukucheniwepo wapi![]()
Sahivi kuna kijoto sijui kimetoka wapi,, ngoja kukucheniwepo wapi![]()
Mi mkaliAhahah sidhani km ungefanya hivyo binti Abiuidi.unaonekana Una huruma sana

Watoto wanamideko sikuhizi acha tu!!Mimi nahisi ningekuwa nachapa hadi mikono iniume
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mimi hadi nyumbani huwa siwezi kumfundisha mtotoWatoto wanamideko sikuhizi acha tu!!
,,mkono mwepesi sana kurusha vibao.
Kimbembe unakuta huelewi ulipokosea.Subiri Junia aongezeke.Mavi yakeee!!! Muongo huyo Saint Anne
Hakuna cha junia wala nene!!
Njoo ule dinner 🍽 😉Umemaliza au nikuje doea kiduchu
🤣🤣Kumbe anatuzuga tu..Mavi yakeee!!! Muongo huyo Saint Anne
Hakuna cha junia wala nene!!
Nashiba kabisa 🙂Sasa hapo utashiba mkuu au ndio diet?
Yanii dogo ashakua . saivi nikiona kachanga natamaniii ila nikiwaza hekaheka za mimba nyie!!


Jirani niambie, ana umri gani dogo..
Chai ya tangawizi + coffee ☺☺Mwenyeji hiyo kwa kikombe ni kahawa au chai??
Anazingua huyu!🤣🤣Kumbe anatuzuga tu..
🤣🤣Anazingua huyu!
Bado Nasubiria jirani!! Nisubiri mpaka lini lakini??
Nasubiria nivune mihogo jirani. Nikiweka natuma na zawadi.Bado Nasubiria jirani!! Nisubiri mpaka lini lakini??
😂😂😂Yanii dogo ashakua . saivi nikiona kachanga natamaniii ila nikiwaza hekaheka za mimba nyie!!
Sasa ikujie vibaya uwiiiiii
Bado muda si mrefu jirani.Bado Nasubiria jirani!! Nisubiri mpaka lini lakini??
Umri kapuni ila ninaye hapaJirani niambie, ana umri gani dogo..
😂🤣🤣🤣!Nasubiria nivune mihogo jirani. Nikiweka natuma na zawadi.