Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Watoto wanamideko sikuhizi acha tu!!
Mimi hadi nyumbani huwa siwezi kumfundisha mtoto,,mkono mwepesi sana kurusha vibao.


Nimekumbuka mwalimu wangu fulani kwenye monthly test alikuwa anapita anachungulia unachoandika..kama umekosea anakulangua na vibao Kimbembe unakuta huelewi ulipokosea.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom